Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kitu nilisema
 
😁
 
Angesajili hata kiungo,Zubamendi hakuna kitu
Nina wasiwasi na Arteta na ubaguzi wa wachezaji kutoka Africa
Yeye na Guadiola wana ubaguzi na wachezaji wa Africa
Zubimendi hawezi kuwa replacement ya Partey halafu forward butu sana hakuna shoot na ni uchezaji wa Spain sio UK
Kwa sasa hivi Arsenal warudi kwa Mourinho ndio nafasi ya kupata ubingwa sio kwa Arteta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…