Kuna trend ipo kwenye mpira. Kama unafuatilia na habari unaweza kua umeigundua.
Utakuta labda mchezaji anasifiwa wiki nzima kwa kuscore, kisha siku ya mechi anazingua.
Anasifiwa kiungo kwa pasi na defense siku moja kabla ya mechi siku mechi inachezwa anakua uchochoro.
Kuanzia wiki iliyopita walikua wanataja timu ambazo hazijapoteza games kipindi kirefu.
Ilikuepo Liver, Bayern na Arsenal. Bayern katika kusapoti hili wakapost kikosi na kusema "Chill team, haijapoteza mchezo"
Kisha Augsburg happened.
Liverpool ikabomb kwa Bournemouth.
Na Arsenal tupo leo na United.