Duuh tunatamani mchukue ubingwa lakini sio kirahisi hivyo mdomoni tu, msimu wa 2022/23 if not mistaken, mlikuwa mnaongoza Ligi Kwa kipindi kirefu km Liverpool msimu Jana, Hadi kufika mwanzoni mwa Aprili gepu na mshindi2 Mancity ilikuwa ni zaidi pointi8/9 ivi bwana bwanaa kilichokuja kutoka, Yale ya klopp na guadiola kufukuzana Kwa gepu la pointi1 kuanzia Januari mpk May na Kukosa ubingwa.....
Sembuse nyie arsenal gepu la pt4 hili na hii Januari nusu msimu, mshaanza maandalizi ya sherehe za Ubingwa badala sherehe za kupambana na kuvuja jasho, hard work,mentality,spirit nk Kwa Ajili ubingwa