Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 10,196
- 18,913
Hakuna cha maana alichoandika zaidi ya utumbo tuUkiwa shabiki wa Arsenal huwezi kuelewa alichokiandika hapo.
Wewe kazi yako ilikua ndogo tu ya kunitajia open chances alizopata gyokeres au mchezaji yeyote wa arsenal game na wolves , wolves zote wamejifunga au basi game ya chelsea au aston villa taja open chance mlizotengeneza.Hakuna cha maana alichoandika zaidi ya utumbo tu
Kuna mtu kauliza hivi:Man City wamemweka kwenye orodha ya juu kabisa Enzo Maresca koach aw sasa wa Chelsea endapo kama PEP Guardiola hataendelea kuifundisha timu hiyo ya jiji la Manchester kuanzia msimu ujao wa 2026/2027
View attachment 3517150
Si dalili ya kuchoka masimango, city imeanza rasmi kupiga hesabu za ubingwa.We have to be serious. City imeifunga Brentford na kukaa na clean sheet na imeanzisha usual starters wa kikosi 6.
Hii ni dalili ya timu ambayo imechoka masimango. Yes wachezaji wetu walikasirika juu ya game ya Wolves ila yale ni maneno. This weekend ni kusubiri vitendo.
Kinachonipa matumaini kuhusu city kwasasa ni kuina wachezaji wengine wanafunga, tofauti na mwanzo ambapo magoli ilikuwa ni halaand pekeeSi dalili ya kuchoka masimango, city imeanza rasmi kupiga hesabu za ubingwa.
Wakati city akianza hesabu rasmi nyinyi ndo mko ukingoni mwa kuutafuta ubingwa pumzi imekata, ni kama zile race za mita 1000 arsenal mnaanza kwa speed kali huku man city akiwa mdgomdgo nyuma ile ikishafika lapse ya december to april unaona speed inaongezeka wakati false hoper ukiwa umechoka taabani
it's 2-2 brother till nowNewcastle leo anajipigia Chelsea
Timu imepumzika zaidi ya siku tatu na hichi ndicho inachezaIlibidi everton leo apigwe nne au mkono kabisa
Kuna namna arsenal atuchezi kwenye standard zetu kabisa
Arteta kama mwalimu kuna namna anafeliTimu imepumzika zaidi ya siku tatu na hichi ndicho inacheza