Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,897
- 67,394
Nimeitafuta iyo mechi siioniWanangu wa bayern leo lazima tuue mtu
Ipo uwanjani muda huu πNimeitafuta iyo mechi siioni
Sana. Labda kama kimoyomoyo ananiita andunje mtu mfupiHivi shemeji anakuheshimu kweli?
Mkuu sijawahi kumiliki dstvMimi natumia DSTV siioni na nalipiaga chanell zote
Boy madueke [emoji91]Waliemtuma nae kafa, aje mwingine
View attachment 3508036
Ona tume waharibu vibaya sana, noni madueke ana wasubiri jumapili awa jaze tena π πWanangu wa bayern leo lazima tuue mtu
πππππππππππ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Ushindi wao ni draw si zaidi ya hapo
Nili kwambia naanza kumkanda Bayern, una kuja wewe dada unaye penda kono la nyani ππ₯Wanangu wa bayern wanazingua sasa, anyway ngoja mabingwa wa dunia tutakuja kulipa kisasi