Arsenal (The Gunners) | Special Thread

WAKATI NAANDIKA HAPA KWAMBA BAYERN HANA TIMU YA KUTUFUNGA ARSENAL KUNA WATU WALIDHIHAKI SANA WENGINE WAKANAMBIA NIACHE KUSHABIKIA MPIRA WA MBELE NIBAKI KUSHABIKIA MPIRA WA BONGO, HAYA NYIE WAJUAJI WA MPIRA WA ULAYA MNA LIPI LA KUNAMBIA SASA JUU YA KAULI YANGU DHIDI YA HIYO TIMU YENU YA LEOO BAYERN ??
 
na timu pekee ambayo mashabiki wenzangu wa Arsenal tunapaswa kuihofia kwasasa ni ASTON VILLA, tusipokuwa makini kwa villa tutaacha alama ila sio hawa wengine waliobaki bhn πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…