WAKATI NAANDIKA HAPA KWAMBA BAYERN HANA TIMU YA KUTUFUNGA ARSENAL KUNA WATU WALIDHIHAKI SANA WENGINE WAKANAMBIA NIACHE KUSHABIKIA MPIRA WA MBELE NIBAKI KUSHABIKIA MPIRA WA BONGO, HAYA NYIE WAJUAJI WA MPIRA WA ULAYA MNA LIPI LA KUNAMBIA SASA JUU YA KAULI YANGU DHIDI YA HIYO TIMU YENU YA LEOO BAYERN ??
Arsenal sheria yetu msimu huu ni rahisi sana, ukikaa nyuma tutakufunga kwa set pieces na ukijifanya unajua sana kutushambulia ndo tutakuua kabisaa tutakufunga kwa set pieces na kwenye open play, kwaio mtachagua wenyewe mnatakaje πππ
na timu pekee ambayo mashabiki wenzangu wa Arsenal tunapaswa kuihofia kwasasa ni ASTON VILLA, tusipokuwa makini kwa villa tutaacha alama ila sio hawa wengine waliobaki bhn πππππ