Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hawa Liverkuku ifike hatua tusiwacheke aisee wanasikitisha sana, kabla hatujacheza na Nyekesto zilikua zinapigwa hesabu kua tukifungwa tu basi mbizo za ubingwa ndo basi tena,, leo wana gape na mateso makubwa sana, tuwaombee tu maana inahuzunisha mno
 
Crystal palace bila kumtangulia goli mbili hautakiwi ku-relax hata kidogo

Tumewapiga moja lakini bado wana utulivu wa hali ya juu
 
Tunashukuru kwa maisha ya Raila Odinga,mashabiki wenzake wa arsenal walienda kuzuru kabuli la shabiki kindaki ndani wa the gunners.
 

Attachments

  • 3d412f62fc35d15fc5c8c5f51cd060d4.webp
    134.9 KB · Views: 19
Sasa hivi tuizungumzie timu yetu,achaneni kusemana hata Kama mtu alikimbia wakati tunafanya vibaya acha Sasa hivi awe huru huyo bado Ni Arsenal Na anatufaa kuwasema kina flano Na mr Liverpool,kinachotuunganisha Ni Arsenal tuwe focus Kama mkorea.LET ENJOY ARSENAL STATUS NOW,Na tujadili tunatoboaje MAY Na kombe letu
 
Yes, umeongea kitu kizuri mkuu

Alafu hao uliowataja mbona walikua arsenal fans wazuri tu

sema acha tusifukue makaburi.
 
Naangalia uchambuzi wa mechi ya jana sioni kitu, ni kuchambana tu.
Hongereni gunners, mwendo wa taratibu ila uhakika. The EPL is a long journey, tusibweteke.
 
Msimu huu mnachukua ubingwa....lkn 2028 ni zamu yetu man u, tuna project ya EPL kabla au ifikapo 2028
🤣🤣🤣 Bagabeach nahisi utakua mgeni na Arsenyau, Ni rahisi Sunderland kushinda ligi msimu huu kuliko Arsenyo, Arsenyau sio timu ya kuitilia maanani sana linapokuja suala la kubeba makombe, Arsenyau chini ya Tetea kiwigi misimu yote hua wanaishia kua wapenzi wasindikizaji.
Washawahi kuongoza ligi siku 258 halafu zimebaki siku 17 ligi iishe wakatupa taulo chini.
Hawa Evra aliwafananisha na Netflix, wazee wa next season kila msimu.

#Arsenyau fungu la kukosa.
 
Huyo Evra ndo nani, msikilize the GOAT Ronaldo, achana na hao wachezaji wa kawaida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…