Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal wamekubali kufungwa tayari,
1) huwezi kubadilisha team ya ushindi
2) Madueke alikuwa anazuia watu wawili tayari, Doku yupo free
3) Saliba hakuwa na sababu ya kuanza kwenye game hii

Nipo tayari kukosolewa
 
🀣🀣🀣 Kweli maisha yanaenda kasi sana, katika maisha yangu sijawahi kufikiria kua ipo siku Pep Guardiola anaweza kubadilika na kua prime Mourinho.
Ila The Ganjaz kwa magoli ya papatu papatu mko vizuri sana.
 
Kweli maisha yanaenda kasi sana, katika maisha yangu sijawahi kufikiria kua ipo siku Pep Guardiola anaweza kubadilika na kua prime Mourinho.
Ila The Ganjaz kwa magoli ya papatu papatu mko vizuri sana.
Ili pep apack bus lazima uwe na watu wakumfanya apack bus kweli

Cha msingi zaidi Tuna kikosi kipana
 

Attachments

  • IMG-20250921-WA0008.jpg
    96.2 KB · Views: 17
Unasemaje liverpunda bingwa wakati haujamalizana na hizi teams:
Newcastle
Brighton
Man city
Chelsea
Crystal palace
Nyumbu
Spurs
Arsenal


Apart from hizo teams
Kuna surprise draw au kufungwa kabisa
Hao nao wanadhani kila msimu bahati itakuwa upande wao tu. Kimsingi ushindi wao ni papatu papatu kama chelsea tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…