HUYU anaweza kua starter kweli?Huyu bwana mdgo anajua kwlikwli....Kiwior apige bunda na Zincheko naye aondoke....aje yule dogoπππ...
Huu upigaji wa penalt wa Goal machine sio wakiungwana anaweza kuua kipa wa timu pinzani au kuchana wavu.Penalty Goal! Arsenal 5-0 Leeds United (Viktor GyΓΆkeres)View attachment 3452469
View attachment 3452470
Yea. White akiwa fit kwenye game kama hii tunamuweka White RB na Timber LB. Nafikiri kama White alimmudu Doku, basi Ekitike atawezana nae pia. Tumuache Timber ale sahani moja na Mo Salah. Salah akihamia LW, Timber anamfuata huko huko. Mbona yule farao maji atayaita mma...Benjamin muhuni White anarudi wiki hii...kule kulia acheze yy halafu kushoto acheze Timber Huwa anacheza ule upande....kule yule Salah akakutane na kile kigingi....Calafiori hii mechi akae nje....huo ugomvi haumuhusu.....Kuna gemu pale Emirates Tomiyasu aliwahi kuchezeshwa kule kushoto akawa anatembea na Salah yule mjinga hakufukuta...Arteta anatakiwa arudie hili suala
Kuna uwezekano arsenal inataka kubeba makombe yote
Andrea Berta atafutiwe ulinzi
View attachment 3452462
sijamfatilia sana kumbe ana uwezo kulko kiwiorHuyu bwana mdgo anajua kwlikwli....Kiwior apige bunda na Zincheko naye aondoke....aje yule dogoπππ...
sisi tunatunza risiti..Kuna uwezekano arsenal inataka kubeba makombe yote
Andrea Berta atafutiwe ulinzi
View attachment 3452462
Kuna watu wao macho yanaona makosa tu, hawaangalii mazuri.kapteni amekuwa bora within these 2 games, bado assist na magoli, mambo mengine yapo right. Arteta bado anampa role ya buildup instead alitakiwa kufocus na final pass sababu gyokeres yupo mbele, labda sababu zubimendi hajatumika vizuri kwa kasi i mean pnp ya ligi
πππ kwani Arsenal walikukosea nini? π
Au sioDah!, wanangu nikiangalia nyie muna Saliba halafu nikigeukia kule kwetu tuna Ibu Konate naumia sana. tugawieni hata Mosquera
sio siri yule Richard Hughes na kichwa duara wamedhamiria kutuua kwa presha. wamekomalia deals za attack halafu DM na CB kama hawaoni hiviAu sio
Mosquera? Kwanini tusiwape Saliba na Gabriel kabisa?Dah!, wanangu nikiangalia nyie muna Saliba halafu nikigeukia kule kwetu tuna Ibu Konate naumia sana. tugawieni hata Mosquera
π€£π€£π€£π€£π€£sio siri yule Richard Hughes na kichwa duara wamedhamiria kutuua kwa presha. wamekomalia deals za attack halafu DM na CB kama hawaoni hivi
kwani Arsenal walikukosea nini?