Eze amesikia kilio chenu ndugu zangu....yule Odegaard akae nje kidogo...Captain unakuwa bishoo sana kama nn sijui.....
Aiseee.....
kapteni amekuwa bora within these 2 games, bado assist na magoli, mambo mengine yapo right. Arteta bado anampa role ya buildup instead alitakiwa kufocus na final pass sababu gyokeres yupo mbele, labda sababu zubimendi hajatumika vizuri kwa kasi i mean pnp ya ligiNaona watu wanamuongelea negatively Captain. Kwa upande wangu alikuwa ndiyo man of the match kabla hajaumia. Hata mechi na manyumbu alicheza vizuri sana.
Siyo kila pasi unapiga tu, wakati mwingine unaangalia na unayempa pasi atakuwa kwenye mazingira gani baada ya kuupata mpira. We unaona anachelewesha mwenzako kichwani anaona pasi inatakiwa ipite pale ili ilete madhara.
Mbona hamuongelei jinsi Odergard alivyo kuwa faster kushoot anapopata chance, hasubirisubiri??
Andrea Berta akiamua game na Liverpool atakuwepo kwenye starting 11Hiv rodrygo anaweza kuja kweli?
Martinel. .Gyokeres. maduekeKutokana na injuries za Saka na Ø, pale Anfield tuanze na hii
Eze, gyokeres, Madueke (wapya wote)
Merino, Rice, Zubimendi
how do you feel abt this?
Martineli! Seriously?Martinel. .Gyokeres. madueke
.
Zubimendi. Eze. Rice
.
.Calafiori. Gabi. Saliba. Timber
.
. Raya
Martinel ndio game zake hizoMartineli! Seriously?
Hata kama hajafunga tokea ligi imeanza sasa ndio mumuite Mobutu Seseseko kweli?
Ina maana majina mazuri yote hamjayaona mpaka mumuite hivyo mwenzenu? View attachment 3451666
Huyu ana itwa dada sesiHata kama hajafunga tokea ligi imeanza sasa ndio mumuite Mobutu Seseseko kweli?
Ina maana majina mazuri yote hamjayaona mpaka mumuite hivyo mwenzenu? View attachment 3451666
Hili jina ndo linamfaa zaidi 😂Huyu ana itwa dada sesi
Calafiori atasumbuliwa na mbio za Salah. Lewis-Skelly angefaa zaidi ila bado hajatoka kwenye mood ya likizo.Martinel. .Gyokeres. madueke
.
Zubimendi. Eze. Rice
.
.Calafiori. Gabi. Saliba. Timber
.
. Raya
I was thinking the same. Cala ana ukabaji wa kushika, pia anatumia nguvu zaidi kupita kiasi.Calafiori atasumbuliwa na mbio za Salah. Lewis-Skelly angefaa zaidi ila bado hajatoka kwenye mood ya likizo.