ndengisivilii
JF-Expert Member
- Jun 21, 2024
- 710
- 873
Kwahyo kila ambaye anashinda mechi uwa anachukua ubigwa ficha matatizo Yako ya afya ya akili kwanzaSasa usiposhinda mechi unachukua vipi ubingwa ?
Usioneshe ujinga wako hapa
Duuuh kwamba cunha ni walewale kaa na Ben white akuelekeze vizuri maana pumzi ilikata, saivi kapumzika nenda kamuulize yule cunha vipi aanze kukupa madesa usisahau kubeba ream paper kubwa kama 3 ivi.
Sporting walishasema no refunds hahah gyokeres 1 Vs 1 anaacha mpira nyuma
Leteni 150 tuwape isak , tofaut na hapo mtaendelea kupigwa na chelsea.
Nan aanze Kati ya gyokeres na havertz ??
Na alivyo toka tu kokores akaingia kai Arsenal mbele kama walipata uhai iviKati ya Kokores na Weghorst aiseee bora ya Weghorst atakusaidia hata kukabia juu, ila huyu Kokores ni abiria tu uwanjani, yaani Tetea Kiwigi kama kweli ana akili ni mara 100 amuanzishe Kai Harvez timu ikipata matokeo ya uhakika ndio unaingiza hio Kokores.
Utd kupoteza leo itatusaidia kuingia sokoni haraka kusajili Dm kabla ya dirisha halijafungwa.
Hapa bila kupepesa macho wamepigwa mchana kweupe huyu goli 15 hafiki.Kati ya Kokores na Weghorst aiseee bora ya Weghorst atakusaidia hata kukabia juu, ila huyu Kokores ni abiria tu uwanjani, yaani Tetea Kiwigi kama kweli ana akili ni mara 100 amuanzishe Kai Harvez timu ikipata matokeo ya uhakika ndio unaingiza hio Kokores.
Utd kupoteza leo itatusaidia kuingia sokoni haraka kusajili Dm kabla ya dirisha halijafungwa.
Top 4 mwaka huu kuna kazi.. Unaweza kusema ni mapema sana lakini Man utd mbali na kupoteza lakini kwasasa ni timu nyingine kabisa.. Unaona kuanzia katikati mpaka mbele wanaelewana na kuna kitu wanatafuta.. Ni vile leo bahati haikuwa kwao.
Mkuu kwanza hongereni kwa kujipatia 3points ugenini, kweli duniani mambo hua yanaenda yanabadilika, yaani siku hizi Arsenal inapata points kwa united hata ikicheza hovyo wakati zamani hata mkicheza vizuri mlikuwa hampati kitu.
#Arseno Ndoo
#Kokorez Kiatu
Akili za kibwege za Arteta boy.bora party angebaki tu
Tutaendelea kubishana na watu wa Cheltako na Manunu hmu ndani..sio nyukesto shehe....katika watu ambao Huwa siwafikirii ni nyinyi mna mnajulikana mwendo wenu.....Watu wanaacha mnalea mtu halafu wanakuja kienyeji kumteka....mchezaji kukataa kucheza akiwa na contract ya miaka 3 ni dhereu kubwa mno......msimu ujao na ka Gordon Nako katakaza makalio kanataka kundoka....tqfuta mtu wa Nottingham forest ndo ubishane naye sio hmu sheheDraw against villa, mkuu nyinyi hata false hope msimu hazitakuepo , team hata pasi 10 mnashindwa kupiga, haya magoli ya kona hata top 4 itakuwa papatupapatu tu.
Najua huwezi kunielewa hii August nyinyi ni slow learners utanielewa May huko
Ww ndo usisogee kabisa hmu ndani😀😀😀....nyny hata tukapige gemu huko mbinguni yaani hamtufungi.....timu Ina mwaka wa 20 haijatufunga lakini inakuja hmu kututisha....hii ni maajabu aiseeNinyi vibakà wa london mmefunga kiwete Manu kwa kubagatisha mtatupigia kelele siku nzima humu , ngoja mkutane na vidume Chelsea ,mtajuta kuingiza ndani hicho kikundi Chenu cha wanenguaji
Jana ndo mkaamua kutoa mabomu na mapanga yenu yte lakini wapi😀😀😀....mm nawatakia kilq la heri mkuu mkikutana na kina Chelkenge....Livakuku na Mama cita....ila mechi na vitimu vngine vdogo mdundwe tu....Ubaya Ubaya tuMkuu kwanza hongereni kwa kujipatia 3points ugenini, kweli duniani mambo hua yanaenda yanabadilika, yaani siku hizi Arsenal inapata points kwa united hata ikicheza hovyo wakati zamani hata mkicheza vizuri mlikuwa hampati kitu.
#Arseno Ndoo
#Kokorez Kiatu
ikawa kinyume bna ha ha haaaaaaKesho itakuwa mechi ngumu...
Mtaongoza possession lkn point tatu tutachukua sisi