hapo kwa odegaard sasa replacement ykeWe are the favorite this season, nadhani tutamaliza wa kwanza as things stand, mimi sina hofu sana na majeruhi msimu huu,
Saka - Madueke
Saliba - Mosquera
Odegaard - Nwaneri
Yule bwana Jumapili ajiandae hapohapo ukweni
Kesho hiyoWe are the favorite this season, nadhani tutamaliza wa kwanza as things stand, mimi sina hofu sana na majeruhi msimu huu,
Saka - Madueke
Saliba - Mosquera
Odegaard - Nwaneri
Yule bwana Jumapili ajiandae hapohapo ukweni
Bora umerudiii kuingia mitini kisa madueke ilikua si haki kwa false hoper yeyote yuleLabyrinth 84 na Flano kesho na kesho kutwa msisahau kwenda kanisani
Isak anatuletea ukenge ila si unajua matajiri wamegoma inatakia 150 pale ndo asepe , hawez kusepa kwa bei za kitoto yule
Arsenane nao wanavituko sna😅Aliyetengeneza hii n lazima atakuwa shabiki wa arsenyeto 😂 yn kombe la wanawake ndo mnaweka pamoja na makombe ya wanaume 😂
View attachment 3442834
Siyo poa kabisa. Anatakiwa aheshimu mkataba wake na awe mstaarabu na ashiriki mazoezi na timu ili awe fresh kama hatauzwa aweze kusaidia timu. Hata hivyo Wissa naye nasikia anataka kuja kwenu na anafanya mambo haya haya ya Isak kule Brentford.Isak anatuletea ukenge ila si unajua matajiri wamegoma inatakia 150 pale ndo asepe , hawez kusepa kwa bei za kitoto yule
Kuna timu za kwenda na nidhamu sio hizi nyumbu.Kesho inahitajika nidhamu ya Hali ya juu mno
Nimesubscribe baadhi ya apps na email ninayotumia nilikua napata notifications jinsi kila mchezaji mnayemtaka anavyowakataa.Bora umerudiii kuingia mitini kisa madueke ilikua si haki kwa false hoper yeyote yule
Yaani hatuwezi sema Isak anachofanya ni kibaya kwakua Gyokeres alifanya hivyo hivyo kwa CP ili aje Arsenal.Siyo poa kabisa. Anatakiwa aheshimu mkataba wake na awe mstaarabu na ashiriki mazoezi na timu ili awe fresh kama hatauzwa aweze kusaidia timu. Hata hivyo Wissa naye nasikia anataka kuja kwenu na anafanya mambo haya haya ya Isak kule Brentford.
Bruv hii timu on paper ni ya moto. In practice I hope itakua same zaidi ya misimu mitatu nyuma na hili halitazuiwa na kiazi yoyote, hata mimi.Mambo vipi mkuu, good to see you around. Naiman mitikasi zinaenda poa pande hizo
Nakumbuka ulisema utapunguza kufatilia soka na sio kuacha kabisa
Jukwaa letu la arsenal kwasasa linakuhitaji zaidi ya kipindi chochote kile mzee️
Yaani hatuwezi sema Isak anachofanya ni kibaya kwakua Gyokeres alifanya hivyo hivyo kwa CP ili aje Arsenal.
Ni kama Liverpool ilivyokasirika Trent alivyogomea mkataba ila inafurahi Isak kua jeuri kwa Newcastle
Msimu huu do or dieBruv hii timu on paper ni ya moto. In practice I hope itakua same zaidi ya misimu mitatu nyuma na hili halitazuiwa na kiazi yoyote, hata mimi.