Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 13,213
- 20,988
Kwa urukaji huu angejikita kwenye netball mapema angekuwa mbali muda huu.Hio tarehe 17 ndio utaprove mwenyewe kua Sesko na Mbeumo wanaenda kua memes mitandaoni kama Kokores.
Kikubwa kwa kua nyie ni washkaji zangu nawasanua mapema kabisa muwe makini sana na set pieces, huyo Sesko urefu wake amelizidi goli kwa futi 1.8 halafu kuna Yoro na Alhaji Magwire.
View attachment 3437206
Kwa urukaji huu angejikita kwenye netball mapema angekuwa mbali muda huu.
duh! Flano unajua kumwaga sifa au una undugu na Dotto magariHio tarehe 17 ndio utaprove mwenyewe kua Sesko na Mbeumo wanaenda kua memes mitandaoni kama Kokores.
Kikubwa kwa kua nyie ni washkaji zangu nawasanua mapema kabisa muwe makini sana na set pieces, huyo Sesko urefu wake amelizidi goli kwa futi 1.8 halafu kuna Yoro na Alhaji Magwire.
View attachment 3437206
duh! Flano unajua kumwaga sifa au una undugu na Dotto magari
π€£ hivi jakisoni ana miaka 24 kweli π€£Hivi ni kweli hicho kibaba kweli kina miaka 25? au kimedanganya umri.
Narudia tena msipo jitahidi kupata magoli ya kona kwa vichwa vya akina Gabriel. Basi mjue mtadhalilika sana siku hiyo.Hiki ndio kikosi ambacho kitaanza kumpelekea moto nyumbu
View attachment 3436930
Sie huyu tulipiga saba
Eddie Nketiah. Yaani mpango mzima ni kubeba baraka za Arsenal.Palace wameongeza kikombe kingine hapo London, n nyie wapiga nyeto tuu ndo mnajivunia kikombe cha kushika nafasi ya pili mmeweka stoo π
Winga teleza bwana Madueke atawapa kombe msimu huu πEddie Nketiah. Yaani mpango mzima ni kubeba baraka za Arsenal.
Narudia tena msipo jitahidi kupata magoli ya kona kwa vichwa vya akina Gabriel. Basi mjue mtadhalilika sana siku hiyo.
We jamaa mkuda sanaππArsenyeto wazee wa nafasi ya 2
Ukiona shabiki wa Arsenyeto mnene ujue shangingi huyo