Sesko hajashusha mshahara. Amewapunguzia tu dau alilokuwa anataka. Yaani kama alitaka 200, mmembembeleza amekubali 150. Bado mtakuwa mnalipa zaidi ya 100 zaidi ya alichokokuwa anachukua Leipzig.Tulia muone, kama sesko tu kaja kwetu na kushusha mshahara pia. Ndio utajua legacy ya ferguson bado ipo.
saizi umeacha kumuita Air sesko 🤣Sesko hajashusha mshahara. Amewapunguzia tu dau alilokuwa anataka. Yaani kama alitaka 200, mmembembeleza amekubali 150. Bado mtakuwa mnalipa zaidi ya 100 zaidi ya alichokokuwa anachukua Leipzig.
Sesko mzuri ila kaenda timu la kingese atakuwa mlupo kama kina Hojlund, Sesko anahitaji development, angefaa kuwa material special for Mighty Arsenal
Sio mbaya kikubwa ni kwamba anaipenda manchester united ndio maana aliwakataa arsenal Netflix na newtako.Sesko hajashusha mshahara. Amewapunguzia tu dau alilokuwa anataka. Yaani kama alitaka 200, mmembembeleza amekubali 150. Bado mtakuwa mnalipa zaidi ya 100 zaidi ya alichokokuwa anachukua Leipzig.
Na huu ni moja kati ya Ukweli wasiotaka kuusikia hawa kiwigi Efusii.
InaelekeaDstv game ya asenal anaionyesha?!
Sijawahi kumuita Air Sesko ila jamaa ni hatari hewani.
Giroud mtupu huyu.Kokores 7, Isak 5 na Halland 3 ndio sawa na Air Jordan (Sesko) mmoja.
HENRY14 yaani kuwatisha kidogo tu ndio mnataka mskip mechi ya tarehe 17?
Acheni woga leteni tu timu uwanjani, tutawagonga goli zisizozidi 3 hivyo kuweni tu na amani. View attachment 3436972View attachment 3436973
Hivi ni kweli hicho kibaba kweli kina miaka 25? au kimedanganya umri.Kokores 7, Isak 5 na Halland 3 ndio sawa na Air Jordan (Sesko) mmoja.
HENRY14 yaani kuwatisha kidogo tu ndio mnataka mskip mechi ya tarehe 17?
Acheni woga leteni tu timu uwanjani, tutawagonga goli zisizozidi 3 hivyo kuweni tu na amani. View attachment 3436972View attachment 3436973
Hivi ni kweli hicho kibaba kweli kina miaka 25? au kimedanganya umri.
kuna wachezaji wawili nawaona kabisa wanaenda kuwa memes mitandaoni. Ustadhi Mbeumo na Sesko hizo picha zake anapaa angani sijuiKokores 7, Isak 5 na Halland 3 ndio sawa na Air Jordan (Sesko) mmoja.
HENRY14 yaani kuwatisha kidogo tu ndio mnataka mskip mechi ya tarehe 17?
Acheni woga leteni tu timu uwanjani, tutawagonga goli zisizozidi 3 hivyo kuweni tu na amani. View attachment 3436972View attachment 3436973
kuna wachezaji wawili nawaona kabisa wanaenda kuwa memes mitandaoni. Ustadhi Mbeumo na Sesko hizo picha zake anapaa angani sijui