Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Habari mbaya sana hii kwa Arsenyau, Tetea kiwigi tarehe 17 anaweza asilete timu uwanjani.
Kituo kinachofata tunaelekea Brighton kwenda kung'oa kisiki cha mpingo Carlos Baleba.
 
Kumbe Sesko aligoma mpaka kula ili tu asajiliwe kwenye timu la dunia,
Aiseeee Man Utd ni lidude flani hivi likuuuubwa sana, yaani mpaka world class players wanaomba mishahara yao ipunguzwe mradi tu wakachezee hii timu.

Wapenda kandanda barani ulaya hua wana kamsemo kao wanasema:

"If you haven't played for Manchester United then you're not a footballer."
 
Mna penda kuji furahisha, subiri game ya kwanza ukanyagwe na wanaume
 
Humu ndani mkae mkijua mpaka saivi tumesha washenyenta bao 3+ akija baleba na kipa kama donnarumma mjue mnakufa 5+. HENRY14 .
mke wangu + dada zangu ni mashabiki wa manyumbu, nyie ni wake na dada zetu, Jpili tutawaonesha kazi hapohapo geto kwenu, geto la panya, a.k.a panya road
 
mke wangu + dada zangu ni mashabiki wa manyumbu, nyie ni wake na dada zetu, Jpili tutawaonesha kazi hapohapo geto kwenu, geto la panya, a.k.a panya road
Tuliza mshono kuhusu hizo mbwiga dada yako na mkeo hazisaidii chochote kwenu nyie arsenal netflix. lazima tuwa shenyente, mpaka mseme kwanini bata huwa ana harisha maisha yake yote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…