Arsenal (The Gunners) | Special Thread

asenyo spurs kainua kwapa mbele yenu
Tena kombe la ulaya ambalo Arsenyau hawajawahi kubeba tokea dunia inaumbwa, kilichonifurahisha Spurs wamebeba kombe na kocha wamemtimua.
Tetea Kiwigi unaenda mwaka wa 7 huu hana kombe lolote la maana zaidi ya makombe ya bonanza ya Emirates halafu Arsenyau wenyewe wameridhika kabisa kufuga hiyo Tetea yao isiyotaga, tena na kumsifia juu kwa kumuita Masterclass, Magician, Tactician, Super woman na sifa kedekede
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…