Hawa wahuni wameulizia muda wa mechi vizuri tu ila kutoa updates wamejikausha.
Utasikia, it is just a pre season bro, kwani spurs walikuwa wanacheza mechi ya uefa?
Hawa wahuni wameulizia muda wa mechi vizuri tu ila kutoa updates wamejikausha.
Utasikia, it is just a pre season bro, kwani spurs walikuwa wanacheza mechi ya uefa?
Wanangu Arsenyani mara ya mwisho nilikuwa naona comments "game yetu na spurs saa ngapi?" "oyah game ipo mida gani?" "drop link tuchek boli gunners". Sasa hivi hamuonekani tena shida nini bandugu
Tena kombe la ulaya ambalo Arsenyau hawajawahi kubeba tokea dunia inaumbwa, kilichonifurahisha Spurs wamebeba kombe na kocha wamemtimua.
Tetea Kiwigi unaenda mwaka wa 7 huu hana kombe lolote la maana zaidi ya makombe ya bonanza ya Emirates halafu Arsenyau wenyewe wameridhika kabisa kufuga hiyo Tetea yao isiyotaga, tena na kumsifia juu kwa kumuita Masterclass, Magician, Tactician, Super woman na sifa kedekede
Hizo sajili 2 zikikamilika tu, nawashauri Arsenyau msilete timu uwanjani hio tarehe 17, la sivyo zile goli 8 tunaenda kuzifanyia anniversary. View attachment 3427155