Arsenal (The Gunners) | Special Thread

So sad ndio nini???
There is no single Arsenal fans with Brian.

Tofauti ya Arsenal na Real Sociedad alyotoka huyo Zubimendi ni different league tu lakini vingine vyote mpo sawa TROPHYLESS AURA.
Sawa lakini haibadili mtazamo wa kwamba Slot ni kilaza 😁
 
Yetu macho,,,, tuombe huu usajili uende vizuri apafom vyema !
 
Siyo kwamba tulikuwa wenyewe tunaomtaka. Tulimtaka wengi ila yeye alikomaa kuwa anataka kuja kwetu tu, hivyo wengine wote, mfano Manchester United, wakajikuta hawana nafasi ya kumchukua.
Utd usiihesabie, kwanza hawana michuano ya ulaya(hii inapunguza ushawishi kwa wachezaji ), pia wanajitafuta, kimsingi wana matatizo yao mengi tu ! Mm namaanisha timu kama Madrid, bayern, barca, juve, city , liver ,,, kuna tumu ilimtaka hapo ikamkosa ?
 
Hapo mpaka nipekue mitandaoni kwa kweli. Habari kubwa ni Manchester United na timu za Saudia.
Hizo timu kubwa zingine tayari zina akina Kane, Lewandowski, Mbappe...sidhani kama walikuwa wanatafuta strikers. Timu ninayofikiri ilikuwa inatafuta striker hapo ni Liverpool ambao wanamtaka Isak na wamemchukua Ekitike. Nafikiri sababu kuu pia ya kutaka striker kwao imekuja baada ya kuondokewa na Jota (RIP), la sivyo sidhani kama wangetaka striker mwingine msimu huu. Na bado wasingempata Gyokeres maana jamaa ameikubali project yetu kinoma.
 
So sad ndio nini???
There is no single Arsenal fans with Brian.

Tofauti ya Arsenal na Real Sociedad alyotoka huyo Zubimendi ni different league tu lakini vingine vyote mpo sawa TROPHYLESS AURA.
Dah umetish sana 😁
 
Huyu Madueke inaonekana kanunuliwa kwa upuuzi wa Arteta.

Ukimuangalia Berta anaonekana kichwani zimo na sio mtu wakupigwa.

Yule mjinga mpanga koni wetu anaweza kuwa ni dalili wa wachezaji pia.

Anachukua asilimia zake kama ile kipara iliyokuwepo nyumbu.Iliwapelekea garasa nyingi kwelikweli kwa bei ya hatari na majinga yakajaa.
 
So sad ndio nini???
There is no single Arsenal fans with Brian.

Tofauti ya Arsenal na Real Sociedad alyotoka huyo Zubimendi ni different league tu lakini vingine vyote mpo sawa TROPHYLESS AURA.
Andika tu kiswahili ndugu.

Brian ndio inamaanisha nini kwenye sentensi yako.

Unaandika pumba halafu unazikazia kwa kiingereza ili wajinga wenzio waone umeandika la maana wakupongeze au sio.
 
Zubimendi ananikumbusha Vitinha na Neves dhidi yetu na PSG, touches nyingi zinazoipa timu control ya kumkera mpinzani, kama kaishiwa pumzi afu bado unamkaba koo.

Hawa Man u mbona itakuwa aibu siku tukikutana, hapo bado EZE
 
Dogo ana upepo, kakubalika na mashabikiView attachment 3416074
Kakubali katoa sehemu ya mshahara wake ili dili litimie

Changuo lake namba 1 hadi namba 5 ni arsenal tu. Nyumbu akatia pua yake akakataliwa live. He only wants to play for arsenal

Ameshinikiza Sporting cp ili dili lake likamilike, aligoma kurudi kwenye club

Wakala wake nae kakubali kupunguza kamisheni yake kisa dili likamilike
 
Zubimendi ananikumbusha Vitinha na Neves dhidi yetu na PSG, touches nyingi zinazoipa timu control ya kumkera mpinzani, kama kaishiwa pumzi afu bado unamkaba koo.

Hawa Man u mbona itakuwa aibu siku tukikutana, hapo bado EZE
Zubimendi na merino ndio midfield engine ya hispain. Epl safari hii watatugea lawama tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…