Hata kama ni wewe utaacha kurusha ngumi? Utaacha?Kumbe chanzo Cha ugomvi ni walimuita "wewe kama arterta tu"😂
Ubaya ni kwamba Arsenal hatuna uhasimu na Chelsea, wala hatujawahi kumuweka Chelsea kwenye equation, bora ungesema Spurs sababu ya North London derby, jukwaa hili anayeruhusiwa kupiga kelele ni nyumbu sababu ya tamaduni za Arsenal na Man u, na uhasimu wa Wenger na Fergie.
Wameshakataa hawataki utani na nyie.Ukumbusho ni muhimu sana, maana hamchelewi kusahau. MABINGWA WA DUNIA. View attachment 3406628
Hata kama ni wewe utaacha kurusha ngumi? Utaacha?
Arsenal ndo wasahau kuchukua ubingwa kwa miaka hizi mitano mbele make washindani wake wanazidi kuimarika ila wao wanazidi kushuka kiwango na kuanza tena kutengeneza timu.Yaani Luis Enrique ameona juzi tu ametoka kubeba Uefa na Ligue 1 halafu umfananishe na Tetea Kiwigi kweli?
Bora Joao Pedro angetuka tusi la kawada Luis Enrique angepotezea, lakini kumfananisha na Masterclass in failure hilo ni zaidi ya tusi, hata lile kofi halitoshi angempiga ngumi ya pua kabisa.
Ukweli mchunguLiva akichukua anamtambia mtani wake everton man city akichukua anamtambia UNited ila sisi na nyie ni wa mji mmoja tukichukua lazima tuwatambie alafu kingine hakuna mwanaume anaetmanani mwanamke mgumba ambae hazai yani kutamani chelsea iwe kama arsenal ni jambo ambalo haliwezekani makombe ni matokeo ya project project ya miaka 6 bila kombe ni sawa na kuishi na mke miaka 6 bila mtoto je wewe utakubali uwe arsenal?
Rodrygo ni bora zaidi kwa hii MADUEKE, basi tu.Gyokeres dili linaonekana limekamilika.
Nafikiri sasa tutakomaa na Christhian Mosquera halafu Eze. Huenda tumeachana na mipango ya Rodrygo kwa sababu tumemchukua Noni Madueke, hivyo tunaweza kuwa tunafikiria kutunza mkwanja ili tumchuke Eze.
Tuna kazi kubwa ya kupunguza wachezaji kama kina Lokonga na Nelson ila kuna matumaini kwamba karibia kila nafasi ina watu wawili (Madueke nimemhesabu mara mbili, yaani kama backup ya Martinelli na Saka). Kwangu sasa Eze naona ndiyo awe kipaumbele maana namuona kama mbadala wa Odegaard kama chief creative mid.
Yes.Rodrygo ni bora zaidi kwa hii MADUEKE, basi tu.
Noni haikupaswa kuwa biashara ya mapema, tungeringa, jioooni kabisa tungepata kwa bei chee, kifupi anaefanya biashara sidhani kama anajielewa.Yes.
Huenda ingekuwa poa kukomaa na Gyokeres na Mosquera kwanza halafu tumkamate Eze na tuachane na Madueke kwanza. Hapo tungehangaika na mauzo halafu mkwanja ukipatikana tukamchukue Rodrygo hata mwezi wa 8 huko. Kama tungeshindwana bei na Madrid, basi Madueke inaonekana ingekuwa suala la kupiga simu moja tu na kumpata kwa bei chee maana Chelsea wanahitaji kupunguza kikosi chao.
Labda sasa tunataka kukamilisha madili mapema ili tuanze msimu vizuri ndiyo maana tumemchukua Noni mapema.
Tunaongeza takataka kwa kweli...Hongeri wanangu Gunners kwa kukamilisha sajili ya winga teleza Noni Yamal Madueke.
Uzuri wa Arsenyashi kwenye kusajili takataka mpo fasta kwelikweli, ila linapokuja suala la kusajili mchezaji wa maana mtajizungusha kama vile mmekewa gumzi matter konny. View attachment 3408121