Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Msimu wa 2023_24 na 2024_25 ni namba 10 kumi yupi uingereza aliyemzidi kutengeneza nafasi na kufunga magoli?.
Msimu wa 23/24

Wa kwanza kwa chances ni Bruno, wa pili Paskal wa tatu Martin Odegaard.

Huu msimu Cole alikua wa ngapi?

Msimu wa 24/25

Wa kwanza ni Bruno

Wewe hizo takwimu feki za Cole kuongoza umetoa wapi?
 
Ngoja niseme kitu.

Nigga is good ila siyo kama wanavyodai kwamba anaongoza mpaka takwimu
 
Ifikapo saa 4 usiku nawakaribisha kuangalia mechi ya mwanaume wa London, mkishuhudia tukiingia fainali na jiji lote la London kuweka historia mana akina mama mnashindwa kufika wanaume tulipo 😎
 
Msimu wa 23/24

Wa kwanza kwa chances ni Bruno, wa pili Paskal wa tatu Martin Odegaard.

Huu msimu Cole alikua wa ngapi?

Msimu wa 24/25

Wa kwanza ni Bruno

Wewe hizo takwimu feki za Cole kuongoza umetoa wapi?
Bruno ana goli ngapi?. odegard ana goli ngapi?. mbona umebase upande wa kutengeza nafasi tu?.
 
Msimu wa 23/24

Wa kwanza kwa chances ni Bruno, wa pili Paskal wa tatu Martin Odegaard.

Huu msimu Cole alikua wa ngapi?

Msimu wa 24/25

Wa kwanza ni Bruno

Wewe hizo takwimu feki za Cole kuongoza umetoa wapi?
Mkuu wewe hizo takwimu umetoa wapi?πŸ˜‚ Kwa no. 10 Msimu wa 23/24 acc to sofascore aliongoza Bruno na kdb....wakafuata palmer na odegaard....Msimu wa 24/25 aliongoza palmer akafuatiwa na Bruno.....
 
Mkuu wewe hizo takwimu umetoa wapi?πŸ˜‚ Kwa no. 10 Msimu wa 23/24 acc to sofascore aliongoza Bruno na kdb....wakafuata palmer na odegaard....Msimu wa 24/25 aliongoza palmer akafuatiwa na Bruno.....
Haupo serious.

Comsult upya sources zako
 
Jukwaa linahitaji mashabiki aina yako, optimistic, obsever, smart thinking lkn unfortunately tuna watu wa "mara huyu mbaya tumepigwa, mara hatuwezi kushinda chochote, sijui ooh Arteta ndio anaua timu" yani ukiingia humu unasoma comment dakika moja unatoka, vinginevyo unajikuta unatukana mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…