Yeah hamna kocha mle, tutabaki vile vile.Shida ndugu kwenye hizi nyuzi za timu kuna watu huwa wanajioan wao ndio wana haii yakusifia na kukosoa wengine hapa.
Yaan wao wanajiona ndio Arsenal haswaa kumbe mafi matupu.
Mimi nilikuwa namkubali sana Arteta na hata alipochaguliwa kuwa kocha nilifurahi.Ila kwa nilioyaona hii misimu mi3 tuliyokosa kombe ni uzembe wake sio wa Kroenke kama tulivyokuwa tunawalaumu.
Halafu kimtu badala kije kujadili hoja iliyoletwa kanakuja kujadili taarabu nauhakika hata miaka 26 hana huyo.
Arsenal chini ya Arteta labda iniprove wrong ila sina imani nae.Wale Kroenke family wakitaka heshima wampetpet yule Luis Enrique aje.
Ukiiangalia Psg inavyocheza unauona uwezo wa kocha pale halafu ndio unauona uwezo wa wachezaji.
Ukiiangalia Arsenal inavyocheza unaona uwezo wa wachezaji halafu uwezo wa kocha ndio unafata.
Endeleeni kujifariji.
Kipara anaanza kukaa sawa huko.
Hata tumsajili nani kama kocha atabaki Arteta basi ni sawa na kazi bure.
Kocha wa Psg Luis Enrique ukimpa Arsenal ya misimu hii mitatu iliyopita.Lazima akupe kombe hata moja la heshima.
Ila yule kazi bure hakuna kazi pale.
Madueke boy on the way.
Kudus, kikwazo ni bei yakeMadueke kwa kudus, madueke ni takataka...
Wangeleta kudus yule, saka angeipata pata, angehamia hata kwa kina martineli kule, mchezaji anakimbia anaangalia chini kama kondoo 🐑🐏
Ukweli. Next season tunamchukua Neto.Hahahaha wivu tuu.
Tumia pesa ama muda kupata kilicho bora zaidi...Kudus, kikwazo ni bei yake
Kama kweli tutampata itakuwa vizuri. Nimeamua kuwa mroho kama Castr na sasa nawataka wote Gyokeres na Šeško. Tuwachukue wote wawili. Halafu tukachukue kale kabeki ka Valencia, Mosquera na Eze na ikiwezekana tumalizie na LW mmoja ingawa kwangu si lazima.Sources suggest that there is a total verbal agreement between Arsenal and Viktor Gyökeres over a contract until June 2030, with an important salary and signing bonus.
As of today, there were no talks between Sporting CP and Arsenal—no official offer or any talks. However, the situation can change in the next few days.
Everything is verbally agreed upon! As informed before, Viktor Gyökeres is impressed "by Arsenal's project plans and would love to join and play under Mikel Arteta. ❤️👊🏻📝💥✍️🏻
Via: 𝐄𝐧𝐨𝐜𝐤 𝐊𝐨𝐛𝐢𝐧𝐚 𝐄𝐬𝐬𝐞𝐥View attachment 3390665