Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Partey anlipaswa kukatwa 50k au zaidi kwenye mkataba wake, siyo kuongezewa. Ni mzuri sana ila muda mwingi huwa hayupo uwanjani.
 
Endeleeni kujifariji.

Kipara anaanza kukaa sawa huko.

Hata tumsajili nani kama kocha atabaki Arteta basi ni sawa na kazi bure.

Kocha wa Psg Luis Enrique ukimpa Arsenal ya misimu hii mitatu iliyopita.Lazima akupe kombe hata moja la heshima.

Ila yule kazi bure hakuna kazi pale.
 
We jamaa watakuchukia humu sababu ya kusema ukweli, muulize jamaa anaitwa Labyrinth 84 washamtenga hadi kahamia newcastle.
 
We jamaa watakuchukia humu sababu ya kusema ukweli, muulize jamaa anaitwa Labyrinth 84 washamtenga hadi kahamia newcastle.
Labyrinth alihama kwa hasira zake mwenyewe ila mdogo mdogo kijanja janja anarudi kundini.
Kuhusu Arteta, wote tunajua yeye siyo Klopp wala Guardiola na sio wote tunamkubali, ila tunamuombea tu mema na iko siku atafanya jambo kubwa.
 
Raheem Sterling alisajiliwa kwa bei gani Arsenal? mi nachojua alikuja kwa mkopo na bado chelsea walilipa sehemu ya mshahara wake

Sio lazima kila mtu ajue kuwa huna akili, vitu vingine unaficha umbumbumbu kwa kukaa kimya
 
Kwa Hiyo Berta baada tu ya kuja Arsenal tayari ameshakuwa na akili ndogo?
 
Cheki takataka hii, mashabiki wa Arsenal humu mna safari ndefu sana kushare mawazo na nyumbu sampuli hii
 
yah profile bro profile, Aucho X pacome. Passer and runner.
 
Nasoma sehemu kwamba upfront fee haina shida kwenye add-ons ndiyo timu zinapopishana.

Hii inatokana na deal la moto ambalo united kafanya na Wolves, ni ngumu Brentford aridhike kupunjwa.
Hapo sawa, mkuu nimekupata hapa umenikumbusha issue ya ceisado baada ya kuwagomea Liverpool. Chelwowo alitoboka vibaya sana. Na hiki ndicho Brentford wanachotufanyia kupitia issue ya cunha.
 
Mnaosema Arteta sio coach mnakosea. Kaikuta timu hata kuingia top six ni ishu ila leo ina nafasi ya kuwa bingwa na kufika mbali Uefa. Kama mnaona ni kitu rahisi angalia kinachotokea United. Timu za City na Liva zilianza kuachieve kitambo kipindi hicho Arsenal haina uelekeo. Tuwe na subira na ukame wa makombe usifanye tusahau tulipotoka.
 
Raheem Sterling alisajiliwa kwa bei gani Arsenal? mi nachojua alikuja kwa mkopo na bado chelsea walilipa sehemu ya mshahara wake

Sio lazima kila mtu ajue kuwa huna akili, vitu vingine unaficha umbumbumbu kwa kukaa kimya
Kweli wewe firigisi kweli hata ujinga unatetea.

Kwahyo mchezaji akija bure ndio akafanya ujinga unaona sawa tu.

Timu inayotaka ubingwa inasajili mchezaji wa mkopo bure tena alieisha kiwango unaona kuna akili hapo.

Au unatetea tu kisa shabiki maandazi,Kwa taarifa yako mimi nimeishuhudia Arsenal ikibeba kombe la ligi kuu ya uingereza na nauhakika tangu uanze kuishangilia ile timu haujawahi kufurahia hilo kombe.

Na nauhakika final tu ya FA ya 2005 haujaiangalia kwa macho yako ya nyama/live zaidi ya kugoogle kuangalia matukio/highlights.

Na usipotuliza akili utaaga hii dunia haujawahi kuiona Arsenal ikibeba EPL.
 
Cheki takataka hii, mashabiki wa Arsenal humu mna safari ndefu sana kushare mawazo na nyumbu sampuli hii
Unajiona una akili mwenyewe.

Em nipe mafanikio ya Arteta kwa hii miaka aliyokaa Arsenal.

Kwa akili ya yai bovu utasema kuwa nafasis ya pili ni mafanikio kwa timu/mashabiki ulivyo pampers mbovu.

Hiyo nafasi ya pili ni mafanikio ya Arteta na wachezaji wake maana wanapata bonuses na tajiri ananeemeka.Ww shabiki wa mpekenyera unafaidika nini.

Siku nyingine jifunze kujadili hoja sio mleta hoja.Akili ndogo ndio hujadili watu kama wewe vile.

Umeona kwenye huu mjadala nimemuattack mtu.

Usidhani sijui kuattack watu takupokea vile unavyokuja.
 
Fala nakublock, huna unachojua zaidi ya kubadili ID
 
Mi nakuunga mkono kwa 100%.
 
Mi nakuunga mkono kwa 100%.
Shida ndugu kwenye hizi nyuzi za timu kuna watu huwa wanajioan wao ndio wana haii yakusifia na kukosoa wengine hapa.

Yaan wao wanajiona ndio Arsenal haswaa kumbe mafi matupu.

Mimi nilikuwa namkubali sana Arteta na hata alipochaguliwa kuwa kocha nilifurahi.Ila kwa nilioyaona hii misimu mi3 tuliyokosa kombe ni uzembe wake sio wa Kroenke kama tulivyokuwa tunawalaumu.

Halafu kimtu badala kije kujadili hoja iliyoletwa kanakuja kujadili taarabu nauhakika hata miaka 26 hana huyo.

Arsenal chini ya Arteta labda iniprove wrong ila sina imani nae.Wale Kroenke family wakitaka heshima wampetpet yule Luis Enrique aje.

Ukiiangalia Psg inavyocheza unauona uwezo wa kocha pale halafu ndio unauona uwezo wa wachezaji.

Ukiiangalia Arsenal inavyocheza unaona uwezo wa wachezaji halafu uwezo wa kocha ndio unafata.
 
Yeah hamna kocha mle, tutabaki vile vile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…