Hao mlitupiga.Kai na Cech.
Siyo huyo tu.
😁 tunajenga timuSiyo huyo tu.
Ghafla juzi unaambiwa Arsenal ipo tayari kususia mazungumzo na Sesko.
Liver kulipa ile 150M imefanya timu zingine zione zinaweza kuexploit zaidi.
Nyinyi ndiyo kazi mnayo
Hili swali ni pana mnoWhy sesko na siyo gor
Suala la ligi wanazochezeaWhy sesko na siyo gor
Hapa tulisema tuanze kuongea na Gyokeres ili kina Sesko walegeze kamba. Ila sasa Chelsea nao wamemjia Gyokeres hivyo hali itazidi kuwa ngumu.Siyo huyo tu.
Ghafla juzi unaambiwa Arsenal ipo tayari kususia mazungumzo na Sesko.
Liver kulipa ile 150M imefanya timu zingine zione zinaweza kuexploit zaidi.
Nyinyi ndiyo kazi mnayo
Na Sporting wanataka zaidi ya 100MHapa tulisema tuanze kuongea na Gyokeres ili kina Sesko walegeze kamba. Ila sasa Chelsea nao wamemjia Gyokeres hivyo hali itazidi kuwa ngumu.
Liverkuku si unawajua wao wahuni tu. Wao wameshachukua ubingwa na sasa wanataka kuhakikisha wanaushikilia kwa mbinu mbovu za kuharibu soko.Na Sporting wanataka zaidi ya 100M
Liver ni viazi
Gyokeres kufunga kwake sio shida, sesko ni kai mwingineIla tumchukue tu huyu Sesko tumalizane na haya mambo.
Kama mlivyopigwa kwa Pepe kale.😃Na Sporting wanataka zaidi ya 100M
Liver ni viazi
Stats za Pepe ni za juu kuliko signings za mtu kama Grealish ambaye alinunuliwa kwa 100MKama mlivyopigwa kwa Pepe kale.😃
Ushabiki raha sana.
Kwani bruno ali tokea wapi mkuu?, cr7,Suala la ligi wanazochezea
Tofauti za umri
Historia ya wachezaji wanaotoka kwenye hizi ligi na kuja Epl
Nk.nadhani hayo yamechangia sesko kuwa na upper hand
Bora uliposema huna uhakika.Stats za Pepe ni za juu kuliko signings za mtu kama Grealish ambaye alinunuliwa kwa 100M
Sina uhakika na usajili wenu wa 100M, Nunez, kama kamzidi Pepe kitakwimu
I swear sijakuelewaBora uliposema huna uhakika.
Nakuibia siri Nunez tayari anataji la ligi huko. sasa stats za mchezaji mmoja mmoja wa City ni za kawaida ukikompare na Saka ila SAKA ana nini na akina Glealish na Doku wana nini?
Liverpool tumefanya BIG SIGNING moja tu tayari STATEMENT imeshawafikia mmeona tupo serious sana. Acheni kulia lia fanyeni signing ambazo zitawapeleka Next Level in a second, Signing za mafungu mafungu mnazofanya za akina Kepa haziwezi kuwapa uwezo wa kushindana na sisi......... Kenge nyie.Liverkuku si unawajua wao wahuni tu. Wao wameshachukua ubingwa na sasa wanataka kuhakikisha wanaushikilia kwa mbinu mbovu za kuharibu soko.
Utaelewa vipi na una miaka 21 bila EPL huwezi kuelewa, leicester , liver, man city na chelsea fans wameelewa sidhani kama kuna false hopers yeyote ameelewa .I swear sijakuelewa
Kama umemuelewa rudia alichoandika ila kwa ufupi.Utaelewa vipi na una miaka 21 bila EPL huwezi kuelewa, leicester , liver, man city na chelsea fans wameelewa sidhani kama kuna false hopers yeyote ameelewa .
Embu ulizaneni nyinyi kwa nyinyi kwanza kama mnaelewa alichoandika bard….. 😂😂