Brother hunaibu ?Mchezaji wenu Partey kashindwa kufanya Central progression, timu ina rank no. 20, IQ ya mtu tunaipima kwenye vitu visivyoonekana kwa macho
season 7 itakua ni balaa🔥😁
Yah we won't stop eating salary free nyamnyamWe 'll be stronger COYG💪 (🤣)
View attachment 3353586
Hilo Kombe la Emirates wanacheza timu ya wanaume vs ya wanawake.Baada ya kuona ukame wa makombe unazidi wakaamua kujianzishia kombe lao la Emirates, kila msimu na wao wananyanyua kwapa.
Ukiwasikia wenyewe wanasema Arsenyo ndoo hua wanamaanisha makombe haya. View attachment 3353733View attachment 3353734View attachment 3353735
Hapa hakuna timu. Msimu unapoanza malengo ni kusindikiza mabingwa kwa kuwatingishia wowowoo na huku wakisema chukua chukua yote yako
Acha kuwadanganya wewe Waliionyesha upinzani gani upinzani upi huo wamepigwa mechi zote nje ndani Home /Away kulikuwa na upinzani hapoAt least mlionyesha upinzani Kwa PSG , tofauti na Yale mambuzi kutoka Serie A ya kuitwa Inter Milan, very hopeless, fainali ya UEFA ikawa kama Ndondo Cup
DahBaada ya kuona ukame wa makombe unazidi wakaamua kujianzishia kombe lao la Emirates, kila msimu na wao wananyanyua kwapa.
Ukiwasikia wenyewe wanasema Arsenyo ndoo hua wanamaanisha makombe haya. View attachment 3353733View attachment 3353734View attachment 3353735
Kwa sajili anazoendelea kufanya CITY, Msimu ujao Arse8 anatoka mikono mitupu tena. Ni vema mkafikiria kuhamia ligi ya Championship embu kaeni chini mlitazame hilo.
Ila jamaa Flano kashata sana wewe.Tetea Kiwigi anajihesabia mpaka sasa ana makombe mawili ya Epl kisa misimu miwili iliyopita amemaliza ligi kwa points nyingi kuliko points za mabingwa wa msimu huu.
Arsenyau mna siri sana, kumbe mmebeba mikombe miwili ya Epl halafu hata hamsemi.
# Tetea Kiwigi Mitano Tena. View attachment 3355714
Ila jamaa Flano kashata sana wewe.
aibu ? kivipi yani? do you think who is accountable in that regard?Brother hunaibu ?