Magoli yakapungua tukaendelea na open play goals. Hoja yako ni kuwa timu lazima zifosi njia za kupata magoli. Nikakuambia hata Arsenal inajua hilo na njia moja ya kufosi baada ya kuona wapinzani wako radhi kutupa kona kuliko kutuachia kushoot, tukabuni namna ya kuzitumia vilivyo hizo kona ili kupata magoli. Mbinu hii ikatubeba.Kona zilipofeli what happened?
Timu ika seize.
Hakuna bingwa wa namna hiyo.
Tupe na point mlizodhulumu twende sawa, vipi liva,city chelsea hawajadhulumiwa pia? Au wanadhulumiwa Arsenal tu?Siyo points 3-4, mechi 3-4. Ni kusema yaani kufungwa mechi 4 kwa dhulma ni kupoteza points 12.
We zimetimia kweli???Its very fun to deal with fun cases.
Mimi nawaelewa sana mashabiki wa liver au city wakija kutuchangamsha humu na ni haki yao kabisa as they are highly decorated with success in recent years.
Ila hata man u,Chelsea au Newcastle?
Hahaaa hii inanikumbusha tabia za mwisho kwa mtu anayekaribia kuitwa marehemu
Chelsea ina makombe yote ya EUFA. Ninyi Arsenal mna niniMagoli yakapungua tukaendelea na open play goals. Hoja yako ni kuwa timu lazima zifosi njia za kupata magoli. Nikakuambia hata Arsenal inajua hilo na njia moja ya kufosi baada ya kuona wapinzani wako radhi kutupa kona kuliko kutuachia kushoot, tukabuni namna ya kuzitumia vilivyo hizo kona ili kupata magoli. Mbinu hii ikatubeba.
Kuhusu kona kufeli, kumbuka pia tulipoteza Havertz, Merino, Gabriel na Calafiori kwa vipindi virefu tu na kwa nyakati tofauti. Unajua hao nao walikuwa na mchango mkubwa tu kwenye kona zetu?
Saka Efusii wana kombe la kibuyu cha ulanzi kinachoitwa Emirates cupChelsea ina makombe yote ya EUFA. Ninyi Arsenal mna nini
Hongera mkuu. Ndiyo hivyo na sisi tunapambana. Naelewa ukiniambia UCL na kwa mbali Europa hata sisi tumejaribu ila bahati bado haijawa kwetu. Ila hiyo Conference aisee wala usipoteze muda kuniambia eti mmebeba. Hilo sisi hatuwezi kulibeba kwa sababu hata kushiriki kwake hatujawahi na hatuwezi kisa tu huwa tunamaliza nafasi za juu sana kwenye ligi.Chelsea ina makombe yote ya EUFA. Ninyi Arsenal mna nini
Hii inaitwa jeuri ya kushinda conference league πππNetflix! mkija kugundua arteta ni tapeli itakuwa too late! Fukuza hiyo kenge maji !
Wachezaji wafuatao wafukuzwe na wafungwe mahakamani ;
Haverts
Odegaard
Martineli
Wafuatao wachapwe viboko 10, wafukuzwe ;
Rice
Calafiori
Raya
Partey
Wafuatao wanyimwe msosi two days, wapewe onyo kali ;
Saliba
Saka
Timber
Gabriel M
Wafuatao wanyang'anywe passport, hawastahili kuonekana England;
Skelly
Nwaneri
White
Kiwior
Zinny
London pale kuna timu tano za EPL.Too many parties in England
Liverpool:EPL Party π
Chelsea: UECL party π
Tottenham: UEL party π
Arsenal: Thomas party π