Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255
Wazee wa visiniaThis was won on 2023View attachment 3344665
Kama umesoma Tanzania kuna kitabu kimoja jina limenitoka kina huu usemi "A man brags about his penis however tiny"Wazee wa visinia
Nimeishia la 3 CKama umesoma Tanzania kuna kitabu kimoja jina limenitoka kina huu usemi "A man brags about his penis however tiny"
"Our floor is their ceiling" ππππππNilikua X nafikiri wiki 2 zimepita nikakuta page moja inafananisha msimu wa city na wa Arsenal ikaonyesha city na ubovu wake ina trophy ambayo ni community shield na inawania nafasi ya pili ya ligi.
Muda hii page inaandika hivi Arsenal tulikua tunaongozwa mbili bila na liver. Na netizens wakaipokea habari wakachambua ubovu wa msimu wa Arsenal na kuisifu city kwamba pamoja na msimu mbovu ila city ana kombe.
Baada ya game kuisha Arsenal akasuluhu kuna shabiki wa Arsenal akauliza kwanini Arsenal inasemwa haijashinda kombe kwa miaka mitano nyuma wakati kombe hilohilo kwa City litahesabiwa na Klopp aliagwa huku likitajwa. Na hata ilivyoonekana Arsenal anaweza kukosa nafasi ya 2 ikaonekana ni failing ila kwa city ni success?
Likaja jibu kwamba "Because our floor is their ceiling"
Ni sawa tu kikubwa iwe Tanzania na iwe shule ya serikali. Siamini kama private walifundishwa kile kitabuNimeishia la 3 C
Hili jukwaa siku hizi limekua ni la kushangilia rede, kweli Saint Anne hakukosea pale alipowaomba moderators wabadilishe jina la jukwaa lisomeke ARSENAL QUEENS.
This was won on 2020. View attachment 3344663Macho yako yanaona hilo lisarafu ni kombe ππππ.
Akili kubwa sana hii. Umetumia mantiki ile ile wanayotumia Manyumbu, kenge, kuku na mijusi wanayotumia kupima mafanikio, lakini hapa hawatakuelewa.By now ni sahihi kusema Arsenal women ina msimu bora kuliko timu zote za ligi ya Uingereza kwa ligi zote za wanaume na wanawake
Itapendeza sana hiiMatokeo ninayotamani ni villa ashinde halafu hao waliobaki wadrop point au wapigwe kabisa.
Milio itakayosikika hapo siyo poa
Acha roho mbaya mkuu, mbona wakati mnahangaika kutafuta team mtakayocheza nayo final kati ya Inter na barca tulihangaika wote kuwatafutia team nzuriii bila kujali kuwa mpo robo final ππMatokeo ninayotamani ni villa ashinde halafu hao waliobaki wadrop point au wapigwe kabisa.
Milio itakayosikika hapo siyo poa
Dah πAcha roho mbaya mkuu, mbona wakati mnahangaika kutafuta team mtakayocheza nayo final kati ya Inter na barca tulihangaika wote kuwatafutia team nzuriii bila kujali kuwa mpo robo final ππ
Usitegemee msimamo kama utabadilika, ni hivyo hivyo kama ulivyo.Wazee wa kutukana mamba kabla hamjavuka mto Mkohoti na Labyrinth 84 leo naona mmoja wenu au wote wawili mkiingia Europa League.
Angalau Herzogg ana uhakika kidogo wa kuingia UCL.
Ila pia yote kwa yote, natambua kuwa mnapaswa kupongezwa maana nyie mmepanda kutoka msimu uliopita huku akina Herzogg na sisi tumeshuka msimu huu. Sisi kwa viwango vyetu, huu msimu umekuwa mbovu kwetu lakini nyie kwa viwango vyenu, hasa hawa mijusi milia, huu ni msimu wa mafanikio katika historia ya timu yenu. Hongereni.
Tukutane tena msimu ujao muendelee kuchangia points sita sita katika kampeni yetu ya kuchukua ubingwa na makombe tele.
Na ukiwauliza hayo makombe yao wameyaona mangapi? Kuna wengine hata moja hawajaliona.For 30 years Chelsea
EPL :5
UEFA: 2 as champion 1 as runner up
FIFA CLUB WORLD CUP :1
EUROPA :2
The only team in London to win UEFA champions.
For 30 years FALSE HOPERS(ARSENAL)
EPL : 3
UEFA : 0
EUROPA 0
In short zero European / international trophy .
Ukianza ku punguza miaka 5 /10 utajua why false hopers ni genge la vichekesho.
Tottenham huyu hapa ni worse season kwa epl lakini ana EUROPA π.
Nyinyi katika peak ubingwa ni kumfunga Madrid and kumaliza nafasi ya 2ππ