hamjashinda makombe misimu 3.Sasa huyo mjinga mmoja unaenda msimu wa 3 anamaliza kwa GD- za kotosha lakini misimu yote 3 anabeba makombe, hauoni kua ni mjinga anaejitambua kuliko yule msindikizaji misimu yote anamaliza na GD+ za kutosha, clean sheet za kutosha halafu mwisho wa msimu anatoka mikono mitupu?
Hivi malengo haswa ya Arsenyau kucheza mpira ni nini? MAANA HATUWAELEWI.
Isijekua tunawalaumu bure kutokubeba makombe kumbe wenzetu nyie malengo yenu ni GD+
View attachment 3339982
Now tuassume mmeshinda makombe misimu 3. Na mmeshinda makombe ya muhimu.
Kwanini hauna confidence na timu yako na mafanikio yako mpaka inabidi uje kutafuta relevance hapa? Kwanini lazima utafute engagement kuquote watu day in day out?