Humu kinachofurahisha ni mambo ya usajili yanaanza mapema sana kuliko team yoyote ile , wakati Newcastle akishangilia carabao, man city FA cup, Liverpool EPL chelsea conference, man utd or spurs Europa parade mbalimbali za ubingwa wao wapo bize na transfers .
Kichekesho zaidiii hata hio transfers wanaambuliq magarasa , watu wakianza kutafuta ubingwa wao wanasubiri transfer ya january ππ watu wako busy kutafuta medali