Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ndiyo ndiyo tupo Arsenal Mpaka ituueπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
We naye ni mjinga mjinga.

PSG haina ST Ramos ni beki? Walivyoona hafanyi poa January wametumia sh ngapi? Hua unanitia uvivu kukujibu kwakua hujui vitu halafu unataka ujenge hoja.
Punguza hasira kaka , hasira za nini wakati wewe ni false hopers wazee wa final tucheze na nan?πŸ˜‚πŸ˜‚
Ramos ameanza mechi ipi ?? Ramos sio first 11 huyo ramos kacheza dk ya 92.
PSG wamewafunga bila ST huu ndo ukweli . Unamuongelea ramos ambae katika dk 180 kacheza dk 7
 
Arsenalia watachagua wenyewe fainali watushangilie sisi au wamshangilie jirani yao ili akibeba ndoo akawasimangie hapohapo sebuleni kwao.

Raha sana aiseee anaemaliza ligi nafasi ya 15 ana furaha kuliko anaemaliza nafasi ya 2.
 
Hasira unazo wewe. Unataka utumie watu kama sehemu ya kukupunguzia stress.

Unaquote kila mtu unatafuta relief.

You are too dependent on others unaamini unahitaji validation kutoka kwa wengine.

Hii tendency inaonekana sana kwa watu waliolelewa na mzazi mmoja. So sorry nigga
 
Tetea kiwigi anasema pamoja na kutolewa kwenye michuano ila bado Yeye ana timu Bora
Kweli aliyewaroga ameshakufa na vifaa vyakeπŸ˜†
Hii kauli ya Tetea imenifanya nikawaza sana fans wa ganaz hapa jukwaani! Maana na wao ni watetea timu hata kwa mambo yasiyo na ulazima kama kocha wao tu.
Sijui Tetea anapimaje ubora wa timu ambao sisi hatuuoni. Defense kila mechi inachoma halafu wanakwambia wana defense nzuri ulaya nzima, kwenye kiundo, zaidi ya Partey, Rice ni Henderson version 2 na yule Ode sioni la maana analoofa kwa timu zaidi ya kuweka sawa nywele na arm band yake kila mara. Ukirudi forward line wanamtegemea yule Saka amabye anatumia mguu mmoja tu na mechi ya juzi kashindwa kabisa kuonyesha umahiri wake.

Anyway, mnapenda kukutana na Inter Milan au Barca fainali?
 
Waonee huruma. Washaanza kutokwa povu.
 
Watasema wanajipanga next season πŸ˜†
Watafute kwanza wachezaji wa kueleweka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…