Wewe na shoga yako kenge mchukue kombe au msichukue hayo ni matatizo yenu. Arsenal tuna yetu makubwa
Nico ni mtu haswaKama Arsenal tutamnunua huyu Nico kwamba mi upgrade ya Martinelli tutakua tumepigwa.
Sijaona chochote ambacho media inampa hype.
Labda kwa vile ni mara ya kwanza namuangalia
Nilitaka kusema usinilitee habari za kikombe kidogo hicho, sisi tuko levels zingine, nikakumbuka kuwa ligi bado haijaisha. Ngoja kwanza nijihakikishie top 5.View attachment 3322231
Tumewafundisha arse8 jinsi ya kushinda mechi za Ulaya
Kusema mambo yenu hayanihusu ni kukasirika?Mwamba mbona umekua na makasiriko ghafla sana?
Siyo kwa ubaya tupeni Psg second leg tuwasadie, maana mnaonekana tayari mmeshajikatia tamaa mapema kabisa.
Gallbladder yako mkuu nakuambia haijafungwa vizuri.Kusema mambo yenu hayanihusu ni kukasirika?
Mwanetu bado upo na mimi tu πGallbladder yako mkuu nakuambia haijafungwa vizuri.
Let it.Mwanetu bado upo na mimi tu π
Arsenal is dying inakua ngumu kuwapa focus yangu. Subirini kwanza
Nafanya kazi ambayo nikiwa na hasira naweza kumess up maisha ya mtu, taasisi na worst case scenario mpaka uhai.Let it.
Ila punguza jazbah haya majukwa yapo kuenjoy naona upo serious sana ndio maana nyongo inamwagika.
Hongera kwa kutokuwa joblessNafanya kazi ambayo nikiwa na hasira naweza kumess up maisha ya mtu, taasisi na worst case scenario mpaka uhai.
Ndiyo sababu nilikuambia character observation yako ipo wrong
Nashukuru Mungu amenijalia upande huo. Kwa vyovyote itavyokua atujalie wote tuliokua humu kila anachoona ni boraHongera kwa kutokuwa jobless
Amiiin.Nashukuru Mungu amenijalia upande huo. Kwa vyovyote itavyokua atujalie wote tuliokua humu kila anachoona ni bora
Nilitaka kusema usinilitee habari za kikombe kidogo hicho, sisi tuko levels zingine, nikakumbuka kuwa ligi bado haijaisha. Ngoja kwanza nijihakikishie top 5.
Mzee wa kufukua makaburi.Henry14 nakumbuka msimu ulioisha kuna maneno uliyaongea yalikua ni ya busara sana.
Arsenyau ni kama tu dicso toto, ikifika saa 4 dj anazima mziki watoto wanaenda kulala, ndio maana waswahili wana kale ka msemo kao "Ngoma ya watoto haikeshi"
Ligi zikifika kipindi hiki Arsenyau wanaenda kulala halafu wanaume wanaenda kubeba makombe. View attachment 3322547
Dah mnajua kuwakela arsenyonyoArne Slot na kombe la EPL msimu wa kwanza Liverpool.
Kati ya Ange Postecoglue (msimu wa pili EPL na Tots) au Ruben Amorim ( chini ya miezi Saba akiwa Man U) kubeba EPL
Tukija kwetu Chelsea, Maresca na Conference League ndani ya first season.
Meanwhile humu ndani TUMEMFUNGA MADRID NJE NDANI
πππππππππ
Hilo jina la fungua la kukosa limekaa utamu sanaTulieni j5 mtakasirika vizuri zaid na mtaamini kuwa ninyi ni fungu la kukosa.
Ukikuta wanawachambua vijana wao humu kina KWIO unabaki kusema eheee!!!