Game ijayo mkicheza kama mlivyocheza kwa madrid mnakula sio chini ya 3 kule kama mkitaka kweli kuonyesha nyie ndio best msiende ku park bus ingieni kiume fungukeni kama mnavyojisifu psg wakifunguka wataoga nyingi kawaogesheni si tunataka magoli wawekezaji huku
Tunawakumbusha huko paris Liverpool ali toka na off target 2 on target 1 possession 70 kwa 30 huko ni jela nyengine hawafuniki kibakuli kama bernabeu ila matusi Yake ni yaki comasava