hata arsenal akishinda leo kuna jambo ata kuwa amejifunza usikariri mambo na kuweka mapenzi sana mbele Psg hii sio sawa na Madrid hii Hawa watu ni wanajua mpira wanaojua mpira wanajua kwanini walitaka psg akutane na arsenal sio Madrid sababu ingekuwa kazi yake kule kama alichofanyawa aston vila tu watu walitaka pure football from two elite coaches
kumbukeni huyu muhuni enriqe alibeba haya makombe na Barcelona kule
Yaani huyo Timbulo mnaetupigia makelele humu kua ndio beki bora duniani jinsi Kvicha anavyomnyanyasa sidhani kama atamaliza dakika 90 bila ya kuchezea umeme.
Tunapata ugumu sana wa kutokea nyuma, declan rice kuna vitu ajifunze, partey kuna mipira fulani anaturn kwa adui hapi rice anapiga back pass ama ya pembeni mara chache.