Yaani walikua wanatamba ila siku ya mechi chupi zimejaa maviWanajamba jamba tu sahizi huko walipo mpk uzi wameutelekeza.
Unaiwazia unacheza weweGame ya leo naiwazia bila partey yule mpuuzi aliwezaje kufanya upuuzi ule na anajua game ijayo ataikosa.. kioe alichokifanya declan rice ni hali ya upambanaji wa hali ya juu, tunahitaji watu wa namna ile, yule hata kuwa captain anafaa... Sio fundi kiviile, ila spirit ya upambanaji ipo juu sana, wachezaji wa diego simeone wale
Itakua safi sana hii yellow ya Partey kua a blessing in disguiseGame ya leo naiwazia bila partey yule mpuuzi aliwezaje kufanya upuuzi ule na anajua game ijayo ataikosa.. kioe alichokifanya declan rice ni hali ya upambanaji wa hali ya juu, tunahitaji watu wa namna ile, yule hata kuwa captain anafaa... Sio fundi kiviile, ila spirit ya upambanaji ipo juu sana, wachezaji wa diego simeone wale
Hujui mpira. Unaendesha na hisia. Kwa kifupi una zero football IQ.ππ yani wanatumia scenario ya madrid kucheza na psg yani mimi tu nilijua madrid hana mpira wakufunga arsenal na nikaombea apite ili akutane na psg maana wote hawa wana quality sio class
ATTACKING
Madrid hawakuweza kuwa lethal kwa arsenal maana arsenal wana strongest backline kwahio hatari yao ilikuwa ni ngumu ku penetrate kwa kutokea kati kwa mbappe mpaka hapo usha mpunguza attacking dynamic ya team mpinzani wakawa wanatumia wing maana kwa kutokea kati mbappe hawez toboa...sasa hawa jamaa wanakutana na timu iko lethal in both area in the front Three yani wote ni pure wings wenye chemistry ya ku interchange kama false 9 wote hao lazima wata create chance nyingi hofu tu hawapo vizur kwenye finishing na hio inaweza kuwa downfall yao lakin kama leo wote wame amka vizur andaa game ya leo GG Lazima
DEFENSE
Yani ukuta wa madrid ulivyo mbovu arsenal wakapata advantage ya 2 direct free kick ambayo ilibadilisha tempo ya mchezo kuwa upande wao na kuongeza bao la mwishon tena kwa ubovu huo huo defense line ya madrid wameruhus magoli kipind cha pili dakika za jioni sasa hapa wanaenda kukutana na hawa jamaa pembeni MENDEZ * PACHO * MARQUIS* HAKIMI brooo hawa wana kaba wanashambulia balaa Liverpool game ya kwanza kwa psg kapata off target 2 on target 1 the mighty best team in the world against hao underdogs
MIDFIELDER
Hapa sitazungumza sana yani RUIZ*VITINAH*NEVEZ
Kwa ODE*RICE*MERINO Ahaha tungoje muda ufike wote tuburudike
HUU MPIRA TU NO HARD FEELINGS LAKIN ARSENAL WAJITATHMINI HIO CONFIDENCE YAO LEO
Kabisa mkuuArsenal to the UCL FINAL.
Bet za ujanani hizi zilikuwa raha sana. Watu wanatumia michezo kama kisingizio tu cha kufanya wanachokusudia.Safe bet ya leo
View attachment 3320116
Hapo kwenye weaknesses: none ππ. Si hatuna striker wa kueleweka na hatuna Partey leo? ππStrength:
pass 5 wapo golini, playing style yao ya aina moja
Weaknesses:
wanakatika sana, wapo uchi sana, wanaacha sana mashimo
Arsenal
Strength:
wapo compact sana, pass 4 wapo golini, wana playing style nyingi, dark arts playing style, wapo home
Weaknesses: None
.
View attachment 3320121
Hizo sio Weaknesses ni shortages tu, coz hii arsenal ata skelly anashinda za kutosha ukijaa kwenye mfumoHapo kwenye weaknesses: none. Si hatuna striker wa kueleweka na hatuna Partey leo?