Ana hoja bro. Barcelona wako vizuri uwanjani kuanzia totooooz kali mpaka boli wanalopiga. Nategemea game ngumu.Haupo serious bruv
Huyu mwamba hata kwenye timu ya taifa ya Hispania anaweza kuanzaWanawake wametoboa 💪💪View attachment 3317838
Ni mzuri kuliko ZinsbergHuyu Vam Domselaar ni Onana wa kike
Wivu tu umekujaa. Nyie pia timu ya wanawake mnayo.Mmeanza kushangilia akina Mama sasa!
Hebu badilisha jina La Thread.
Kweli baba kiwigi hana maajabu.
Ona Akina Kasto wameanza kutushangilia akina Mama.
Mkikosa UEFA sijui mtatuambia nini nyinyi
🤣🤣🤣watadai kufika semi final au final kwao ni overachievement, maana malengo yao msimu huu ilikua ni kufika quarter-final.
Halafu hizi kima tukiziitaga ni misukule kuna watu hua wanalalamika humu kua huo ni udhalilishaji wa kijinsia. View attachment 3318427
Ni aibu kubwa wanaume ligi imewashinda mnabadilisha gia hewani kujidai ni mashabiki wa ligi ya kina Mama😂Wivu tu umekujaa. Nyie pia timu ya wanawake mnayo.
Naelewa kwamba haitakiwi kua rahisi ila siyo kinyonge kama anavyoandikaAna hoja bro. Barcelona wako vizuri uwanjani kuanzia totooooz kali mpaka boli wanalopiga. Nategemea game ngumu.
Adui wa mwanamke ni mwanamkeMmeanza kushangilia akina Mama sasa!
Hebu badilisha jina La Thread.
Kweli baba kiwigi hana maajabu.
Ona Akina Kasto wameanza kutushangilia akina Mama.
Inasikitisha na inashangaza kwa kwakweli.Kweli adui wa mwanamke ni mwanamke.
Wanawake wa jf roho zinawauma sisi kuongelea mpira wa wanawake wenzao mpaka wanakuja kulalamika humu.
Naelewa unachozungumza ndugu, pia hata mimi nimfuatiliaji wa soka la wanawake.Ndg usidanganyike kama Barcelona anamuonea mbambe wa england Chelsea ambaye anamfunga arsenal kila kukicha na team zote za england , arsenal wanawake atafungwa sio chini ya kamba 5 nafikiri ndio fainali laini Kwa Barcelona kuwahi kutokea na ataendelea kuchukua kombe hili Kwa mwaka wa tatu mfululizo na kuna dalili akafikisha miaka sita mpaka Saba hakuna team ya kuizuia Barcelona hata mwakani.Hii ni Kwa wale tunaofuatilia soka la wanawake tunaongea team iliyofungwa mechi mbili au tatu tu misimu mitatu ya mashindano yote hii ndio Barcelona women .
Hujui tu, Arsenal Women wanacheza soka safi na la kuvutia kuliko hata liverpool ya akina Mo salah.Arsenal yaenda shimoni
Baada ya kuona Liverpool ananyanyua kwapa tena ndani ya miaka michache tu
Huku arsenali akiwa mshindwa sugu, Mwaka wa 20
No epl
Kaenda kutafuta faraja kwenye soka la akina Dada ambalo hata sisi akina dada hatuna mzuka nalo.
Wewe unawivu tu kwa sababu wanawake wenu si lolote si chochote kwenye boli huku wakwetu ndiyo vinara. Hapa najua wote mnaomba Barcelona watuchape ili mpate la kusema.Ni aibu kubwa wanaume ligi imewashinda mnabadilisha gia hewani kujidai ni mashabiki wa ligi ya kina Mama😂
Sisi tunashabikia mechi za wanaume wa shokaHujui tu, Arsenal Women wanacheza soka safi na la kuvutia kuliko hata liverpool ya akina Mo salah.
Karibu jumatano wanacheza na Aston villa ujionee burudani, na sio mpira wa kuchoshana kama ule uliozoea kuuona pale anfield ambapo akina Luis Diaz muda wote ni kukimbia tu, na kuna muda wanakimbia mpaka wanasahau mpira.
Huyu Saint Anne ndiyo mfano halisi wa huo usemi.Adui wa mwanamke ni mwanamke
Badilisha ThreadWewe unawivu tu kwa sababu wanawake wenu si lolote si chochote kwenye boli huku wakwetu ndiyo vinara. Hapa najua wote mnaomba Barcelona watuchape ili mpate la kusema.
Inasikitisha sisi ndio tunawaona nyie wehu kumbe nyie hamjitambui ndio fools, kuwa shabik wa Arsenal lazima kuna fuse zinakua zimepga shoti mahala.YOur fellow fools opted out hawajasema kitu
Sasa unaniulizaje lakini? Ok, assuming akili huna mi ntafanyaje sasa?Inasikitisha sisi ndio tunawaona nyie wehu kumbe nyie hamjitambui ndio fools, kuwa shabik wa Arsenal lazima kuna fuse zinakua zimepga shoti mahala.
Hapo na msimu huu mtatoka patupu, mtakuja kumsifia Arteta kuwa mmetolewa kwnye hatua nzuri, hizo ni akili??
Mbona makasiriko mama, sis huku timu zetu zote mbili zinaelekea kwenye climax ya kutupa furaha kubwa sana kiasi kwamba vilabu vingine vyote vitatuonea wivu.Sisi tunashabikia mechi za wanaume wa shoka
Nyie ligi ya akina Mama, mmemkacha Aterta
Basi badilisheni kabisa thread
Iwe arsenal queens😂