Online huko fans are mad kwakua Loserfools fans wanapost kutudhihaki kwamba tutawafanyia ile parade kumkaribisha bingwa.
NIliwahi kufanya kazi na wachina nilikua ni Team Leader wa kwanza kati ya waliopo. Nilikua na success kwenye kitengo changu kubwa tu, kisha akaja TL mpya in a month akawa amenizidi performance.
Ile ofisi ilikua na utaratibu wa kuchukua last performers na kuwataka watengeneze action plan kuonyesha wataimprove vipi, waonyeshe challenges na weakness yao.
Siku moja kabla ya hawa watu wa mwisho kufanya hivi bosi (Mchina) akaniita. Akaniambia anataka mimi ndiyo niandae hizo zote na anaamua kwamba kwa mwezi huo mimi ndiye poor performer. Akaniambia kwao China wana hili neno "wò xīn cháng dǎn" (nalikumbuka hadi leo) linalomaanisha mtu anatakiwa kudhalilishwa ili afanikiwe kwahiyo anaamini mimi kua presented kama poor performer considering I have always been successful na ni TL wa mwanzo kabisa itanifanya nifocus zaidi.
Notice kwamba aliyenizidi aliniacha points nne tu but jamaa akasema nastahili hii humiliation.
Am hereby saying Arsenal tunastahili hiyo humiliation, PGMOL is corrupt? We have injuries?
So what?
Wakati hayo yanatokea what did we do?
Tulisajili dirisha lilipofunguliwa January?
Tuliscore zaidi ili hata PGMOL wakose pa kutucorner?
Tulipunguza sideway passes na back passes na kufocus kwenda mbele zaidi?
Tuliacha kumuweka Partey RB?
Waweza uliza mbona Loserfools ilibidi wagome kuchezeshwa na certain referee?
Bitch fvck you.
The question is "WHAT DID WE DO?" Siyo "What did Loserfools do?"
So, yeah. Tunastahili hii humiliation. Na next time tukirudia upuuzi huu huu acha tuendelee kuwafanyia parade wenzetu mpaka tutakapoona it's enough we have to take action.
By the way, after the presentation I turned around the whole performance.
NIliwahi kufanya kazi na wachina nilikua ni Team Leader wa kwanza kati ya waliopo. Nilikua na success kwenye kitengo changu kubwa tu, kisha akaja TL mpya in a month akawa amenizidi performance.
Ile ofisi ilikua na utaratibu wa kuchukua last performers na kuwataka watengeneze action plan kuonyesha wataimprove vipi, waonyeshe challenges na weakness yao.
Siku moja kabla ya hawa watu wa mwisho kufanya hivi bosi (Mchina) akaniita. Akaniambia anataka mimi ndiyo niandae hizo zote na anaamua kwamba kwa mwezi huo mimi ndiye poor performer. Akaniambia kwao China wana hili neno "wò xīn cháng dǎn" (nalikumbuka hadi leo) linalomaanisha mtu anatakiwa kudhalilishwa ili afanikiwe kwahiyo anaamini mimi kua presented kama poor performer considering I have always been successful na ni TL wa mwanzo kabisa itanifanya nifocus zaidi.
Notice kwamba aliyenizidi aliniacha points nne tu but jamaa akasema nastahili hii humiliation.
Am hereby saying Arsenal tunastahili hiyo humiliation, PGMOL is corrupt? We have injuries?
So what?
Wakati hayo yanatokea what did we do?
Tulisajili dirisha lilipofunguliwa January?
Tuliscore zaidi ili hata PGMOL wakose pa kutucorner?
Tulipunguza sideway passes na back passes na kufocus kwenda mbele zaidi?
Tuliacha kumuweka Partey RB?
Waweza uliza mbona Loserfools ilibidi wagome kuchezeshwa na certain referee?
Bitch fvck you.
The question is "WHAT DID WE DO?" Siyo "What did Loserfools do?"
So, yeah. Tunastahili hii humiliation. Na next time tukirudia upuuzi huu huu acha tuendelee kuwafanyia parade wenzetu mpaka tutakapoona it's enough we have to take action.
By the way, after the presentation I turned around the whole performance.