Arsenal (The Gunners) | Special Thread

hiyo wisdom ya kichina nimeikubali mkuu
 
Historia inaonyesha PSG ajawai kumfunga kabisa arsenal ndani ya dk 90. Tangu 1994

Real madrid nae ilikuwa hivihivi.

#UEFA
 
Every time Munich has hosted a Champions League final, a new club has lifted the trophy:

1. 1979 – Nottingham Forest
2. 1993 – Marseille
3. 1997 – Borussia Dortmund
4. 2012 – Chelsea
5. 2025 — Arsenal [emoji352]
 
Fede Valverde: "We have a great chance to revenge against Barcelona."

Final: Arsenal vs Barcelona

 
Mikel Arteta: “I wanna tell our fans that against PSG they have to play every ball with us”.

“Bring your boots, your shinpads, your shorts, your T-shirts!”.

“Let’s play on Tuesday night all together here to have one of the most amazing nights at the Emirates”.
 

Attachments

  • IMG_20250426_102856_619.jpg
    137.9 KB · Views: 27
Achana nao hao Livakuku fans na fikra zao potofu, eti ni aibu kuwapa guard of honour...
Hii ni sportsmanship ya kawaida tu. Tumepambania kombe timu 20, 1 imeshinda so inapewa heshima yake na ikiwa timu yetu ndiyo imejikuta inacheza nao wakati wametangazwa kuwa mabingwa, siyo kujidhalilisha kuwapigia makofi bali ni kuwapongeza tu kirafiki kama washindani na marafiki zetu katika soka.

Sisi sasa tukomae pia tupambane tupate heshima hiyo siku moja.

Nadhani mimi nisingedumu kwenye kampuni ya hao wachina 😀 maana naona kama wana mitizamo ya kiwaki kama wanaona kumwambia mfanyakazi afanye presentation ya kueleza namna ya kuberesha ufanisi wake kama 'humiliation' na wanaifanya kwa lengo hilo ili utendaji uboreke.
 
Soko la ajira la bongo ni moto.

Unajikuta unastick sehemu ambayo ukimwambia mtu mwingine anashangaa uliwezaje
 
Hizi stats ndiyo zinatuletea wachezaji mid kwa bei ya juu. Utasikia jamaa mkali ana GA ya 17, assists 11 na goli 6.

Halafu rating ya msimu ni 7.6 kwa 10.

Yaani hayo magoli 6 ya msimu yamempa hiyo rate na kwenu ataletwa kwa 60M. Kipindi naanza kushabikia mpira kulikua hakuna hizi mambo za GA ilikua ni ST kazi yake kufunga ana magoli machache ataitwa flop mmemalizana haina kuanza kutafuta cha kuhalalisha.

Siku hizi utasikia ila ana runs nzuri sana timu ikiwa haina mpira. Mara anasaidia na mid kukaba.

Ujio wa hizi stats unafanya hata fanbase igawanyike. Kwakua mchezaji anaweza kua mzururaji tu ila utashangaa mtu anakwambia huyu anacover eneo kubwa na ana GA ya 18.
 
soka limekua lakiwaki kinoma
 
Akina Kai hao.
 
Good.
 
Historia inaonyesha PSG ajawai kumfunga kabisa arsenal ndani ya dk 90. Tangu 1994

Real madrid nae ilikuwa hivihivi.

#UEFA
View attachment 3315245
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Historia pia inaonyesha Arsenyau haijawahi kushinda hilo kombe la Uefa tokea limeanzishwa.
Haya ndio mambo ya historia sasa kama kweli wewe ni mfuasi mzuri wa kujudge mambo kwa misingi ya historia.
 
"Siyo kujidhalilisha kuwapigia makofi bali ni kuwapongeza tu kirafiki kama washindani na marafiki zetu katika soka."

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hery14 banaaa, yaani timu lako lina zaidi ya miaka 20 halijabeba Epl, misimu mitatu iliyopita lilikua na nafasi kubwa ya kubeba hilo kombe lakini pia likashindwa, halafu liverpool ambayo hakuna mtu yeyote alietegemea itabeba hilo kombe msimu huu inapita nalo nyie mnabaki kua wasindikizaji, tena kwa kua nyie ni mazuzu sheria inawataka mpange mistari muwapigie makofi wakiwa wanaingia uwanjani halafu wewe unaona huo sio udhalilishaji?
Ingekua Arsenyau imebeba hilo kombe hata miaka mitano iliyopita walau unakua na nguvu hata ya kujitetea kua unawapongeza washindani wako, sasa wewe ni zaidi ya miaka 20 huo ushindani wako kwa Liverpool unautolea wapi?
Kwa akili za harakaharaka tu unafikiri hapa chini V.Persie alikua anajisikiaje?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…