Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 25,012
- 56,303
Mna bahati KENGE nyie...MATETA kawaokoa, Liverpool alitaka achukue ubingwa mkikutana nae lakini MATETA kawaokoa atachukua kabla hamjakutana.Trossard scores
Huna akili mtoto wa kamboMna bahati KENGE nyie...MATETA kawaokoa, Liverpool alitaka achukue ubingwa mkikutana nae lakini MATETA kawaokoa atachukua kabla hamjakutana.
Kitu pekee mtakachofanywa kwa Liberpool ni kujipanga mstari kuwapigia makofi wakipita katikati yenu wakiingia uwanjani kwa kuwa watakuwa tayati mabingwa.
Msimu ujao nitajitahidi nifike Emirates
Pale Emirates ukienda kuna vibe flani tofauti na duniani kote...
Kabla ya mechi kuanza, utasikia ile "The Angel" inavyopigwa—emotional sana!
Kisha mashabiki wote wanainuka na kuimba kwa nguvu:
"North London Forever...
Whatever the weather..."
Halafu ghaflaaaa!
"And it's Arsenal!
And it's Arsenal FC!
We're by far the greatest team
The world has ever seen!"
Ukikaa Clock End, utasikia sauti zikipasua anga:
"Ole ole ole...
We won the league at Anfield,
We won it at The Lane,
Stamford Bridge, Old Trafford...
No one can say the same!"
Kabla hujaondoka, mashabiki wanakuletea mdundo mwingine:
"We have got Super Mikel Arteta,
He knows exactly what we want,
Tierney at the back,
Gabby in the attack...
Arsenal! We're in the Champions League!"
Na bado hujasikia:
"Gabriel Martinelli!"
"Du du du... Saliba!"
"I like Saka and Emile Smith Rowe!"
Na moto wa hivi sasa:
"Kai Havertz scores again!" Cobra Kai style!
Oyaa siku moja tu...
Nitakaa North Bank!
Na iwe mechi ya Nyumbu
Tufanye jiji lote litetemeke!
Up Gunners!
Once a Gunner, Always a Gunner!
COYG – Co
me On You Gunners!
️ Victoria Concordia Crescit️
Papa John Paul I alifariki dunia mwaka 1978, mwaka huo timu ya England ilichukua ubingwa wa UEFA.
Mwaka 2005 Papa John Paul II alifariki dunia, mwaka huo timu ya England ilichukua ubingwa wa UEFA.
Mwaka 2022 Papa Benedict XVI alifariki dunia, timu ya England ikabeba kombe la UEFA.
Mwaka huu Papa Francis amefariki dunia.
Mungu amlaze mahali pema peponi, Amina.
C&P
Timu kali sana hii kwa Crystal Palace
Arteta humwambii kitu kwa Raya.Tufanye haraka tumchukue kipa wa Espanyol Barcelona
Vyanzo mbali mbali plus super computer wanaipa arsenal asilimia kubwa ya kubeba UEFAChawa katika ubora wake wa false hope, ila mkorea hizi sio akili zako, itakua Masingeli amekuandikia halafu kakwambia upost.
Halafu hapo we itaje tu Liverpool moja kwa moja, achana na kujifichia kwenye timu ya England ili kujilisha matumaini hewa kua kifo cha Papa ndio kafara ya Arsenyau kubeba Uefa msimu huu.
Hii issue ya kifo cha Papa hua inakuja na special offer kwa Liverpool, na msimu huu imeenda kwa Liverpool kubeba Epl, nyie kima hamhusiki kwa lolote na huu msiba wa dunia, acheni kujipa kipaumbele katika mambo yasiyowahusuView attachment 3313738
Tuombe wachezaji wawe FIT na wenye NIDHAMU.Vyanzo mbali mbali plus super computer wanaipa arsenal asilimia kubwa ya kubeba UEFA
Liverpunda acha achukue hicho ki-EPL, sisi tunalibeba li-UEFA
NB
Bilbao anawapiga home and away