Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Trossard scores
Mna bahati KENGE nyie...MATETA kawaokoa, Liverpool alitaka achukue ubingwa mkikutana nae lakini MATETA kawaokoa atachukua kabla hamjakutana.
Kitu pekee mtakachofanywa kwa Liberpool ni kujipanga mstari kuwapigia makofi wakipita katikati yenu wakiingia uwanjani kwa kuwa watakuwa tayati mabingwa.
 
Hata kama tukishinda haitugei advantage lakini hii ni performance display ya kifala sijawahi kuona.

Huyu Saliba anafanya mistake eneo lile lile. Halafu timu nzima imeparalyze haijui inaendaje mbele.

Wengi sana wanatakiwa kuondoka hapo
 
Huna akili mtoto wa kambo
 
Kumuona humu Masingeli kabla ya mechi akiwadanganya wenzake huwa nafarijika sana, sawa tu na vile wanavyofarijikaga mashabiki wa Arsenyau pale wanapoonaga predictions za allypipi kwenye lile jukwaa la mabingwa
 
Chawa katika ubora wake wa false hope, ila mkorea hizi sio akili zako, itakua Masingeli amekuandikia halafu kakwambia upost.
Halafu hapo we itaje tu Liverpool moja kwa moja, achana na kujifichia kwenye timu ya England ili kujilisha matumaini hewa kua kifo cha Papa ndio kafara ya Arsenyau kubeba Uefa msimu huu.
Hii issue ya kifo cha Papa hua inakuja na special offer kwa Liverpool, na msimu huu imeenda kwa Liverpool kubeba Epl, nyie kima hamhusiki kwa lolote na huu msiba wa dunia, acheni kujipa kipaumbele katika mambo yasiyowahusu
 
Boli tulilopiga jana lilikuwa siyo la kutaka kushinda bali la kutotaka kufungwa na bahati mbaya kidogo kosa la beki wetu likatugharimu. Ila kiukweli ile ilikuwa tufungwe tu.
 
Vyanzo mbali mbali plus super computer wanaipa arsenal asilimia kubwa ya kubeba UEFA
Liverpunda acha achukue hicho ki-EPL, sisi tunalibeba li-UEFA

NB
Bilbao anawapiga home and away
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…