Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mimi nilisharidhika na kufika nusu fainali tu yaani. Ikitokea tumetolewa sitalaumu na ikitokea tumevuka nitafurahi tu.
 
Partey ayaikosa mech ya kwanza ya PSG

Arteta aje na midfield ya

Merino Rice Ø

Why?

PSG Wana midfield nzuri sana kwenye possession ila OOP (out of possession)ni wabovu sana

Walipokuja Emirates walituzidi kwenye possession,ila tuliwazidi Physicality na OOP , wakala 2-0


PSG watu wanaona ni timu tishio ila ubovu wao ni ukiwafanyia press wanakuwa ovyo kwenye kukaba ,

Na hiko kitu Mikel anakijua sana ,hata Villa Jana waliwafanyia hivo ,

Sasa kuwamaliza twende na midfield ya

Merino Rice Ø

Hapo Kuna physicality na OOP
 
For the sake of EPL's dignity, we should do everything possible to eliminate PSG, not even by chance we should allow those oil money spoiled brats to eliminate us.

Itakuwa ni aibu kubwa sana kwa EPL Liverpool, Aston Villa na Arsenal kutolewa na timu inayocheza ligi ya wakulima..

Imagine jamaa wameshatangaza ubingwa bado mechi 6 na hawajapoteza game yoyote kwenye league 1 mpaka sasa hili kuonesha ligi yao ni ya wakulima..

Naamini wachezaji wetu watatunza heshima ya EPL

Yeah of course it's..

Arsenal VS Inter in Munich, Allianz Arena 31/O5/2025... save the date
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…