Wote wamechanganyikiwa.Yaani mfumo huu Arteta amekuwa nao miaka saba? Yaani kile alichokikuta Arteta na alichokijenga ndani ya hiyo miaka saba ni hicho hicho? Kwamba hatuwezi kusema 'miaka 3 mfumo fulani, miaka 4 mfumo mwingine'? Maana kwa mimi naweza kusema timu ya kiushindani ameipata miaka hii mi3, mi4 hivi ambapo ndipo alipokuwa angalau na wachezaji wake na mfumo unaomfaa...
Kama mmeshindwa kutufunga hii mechi ilopita msahau kuja kutufunga mkuuπ€ π€ π€ ....msimu ujao tutawafanya vbaya nje ndani tutakuwa na teka la magoli Sesko na winger machachari Nicolas William mixer kiungo Zubimendi...hakyanani mkisikia mechi na sisi msilete timu uwanjaniHawakwepo lakini mfumo ulikwepo.
Kwani Arteta si ameanza kufundisha Arsenal 2019 mjomba?? Mpk leo si ni miaka7! Hivyo miaka inahesabika tokea Tetea amekua incharge. Ina maana wachezaji wakija wanakuta mfumo.
Sasa nyie mlivyokua wa hovyo mnahesabu kila mchezaji kivyake, wakati wanatumia mfumo uliotengenezwa kw miaka saba.
Komaeni huku ndo mnaweza mkashangilia makombe ya wanawake , kule tuachieni wanaume maana hampawezi.Wanawake wetu wanacheza UCL robo fainali na wanawake wa Madrid.
Yaani UCL tanauwakilishi upande wa wanawake na wanaume. Bahati nzuri kote tuko na Madrid. Kuna timu imeshinda Carabao lakini hata league phase ya UCL hatujaiona, si wanaume wala wanawake. Wanawake wao sijui hata watakuwa daraja lipi huko kwenye ligi yao...Komaeni huku ndo mnaweza mkashangilia makombe ya wanawake , kule tuachieni wanaume maana hampawezi.
Amemaanisha mfumo nyie kondoo ndio mmeshikilia wachezaji, kocha ingekua sio mfumo asingeondoa wale wachezaji aliowakuta.Mfumo?
Grealish, Savinho na Doku hawajakuta mfumo City?
First XI ya Arsenal juzi wengi wameanza kucheza first team football 2023. Same na muda walioanza kikosi cha Kenge.
Halafu caicedo hajasema mfumo. Usidhani peke yako ndiyo unajua kiingereza.
Kumbe wewe unaongelea formation? Huo ni mpangilio tu wa wachezaji.Wote wamechanganyikiwa.
Arteta kacheza back 3 wakati defense yetu shit.
Kacheza 4 2 3 1.
Kaja na 4 3 3 ambayo wachezaji wengi hawakuepo.
Kw hiyo alipaswa kusema wamecheza kw miaka mi4 Sio saba. Cjui unanielewa point yangu?Yaani mfumo huu Arteta amekuwa nao miaka saba? Yaani kile alichokikuta Arteta na alichokijenga ndani ya hiyo miaka saba ni hicho hicho? Kwamba hatuwezi kusema 'miaka 3 mfumo fulani, miaka 4 mfumo mwingine'? Maana kwa mimi naweza kusema timu ya kiushindani ameipata miaka hii mi3, mi4 hivi ambapo ndipo alipokuwa angalau na wachezaji wake na mfumo unaomfaa...
Msiweke matarijio makubwa sana kwa msimu ujao, mana nyie ni wale wale kila msimu. Ni hivi hii chelsea mbovu itachukua kombe kabla yenu, na sitashangaa pia man u pia wakinyanyua kombe kabla yenu. Mpaka mje mshtuke Arteta ni mwanasiasa itakua too late.Kama mmeshindwa kutufunga hii mechi ilopita msahau kuja kutufunga mkuuπ€ π€ π€ ....msimu ujao tutawafanya vbaya nje ndani tutakuwa na teka la magoli Sesko na winger machachari Nicolas William mixer kiungo Zubimendi...hakyanani mkisikia mechi na sisi msilete timu uwanjani
Umesema vyema mna wawakilishi na si washindani hapo sikupingi. Na robo fainali ndipo mnapoishia kama kawaida yenu.Yaani UCL tanauwakilishi upande wa wanawake na wanaume. Bahati nzuri kote tuko na Madrid. Kuna timu imeshinda Carabao lakini hata league phase ya UCL hatujaiona, si wanaume wala wanawake. Wanawake wao sijui hata watakuwa daraja lipi huko kwenye ligi yao...
Wana miaka 33 hawajawahi kushinda League Cup.Umesema vyema mna wawakilishi na si washindani hapo sikupingi. Na robo fainali ndipo mnapoishia kama kawaida yenu.
Mm binafsi naona arteta kama ni mafanikio arsenal kashayapata asepe akatafute makombe kwengine hapo arsenal mtamzeesha tu .
Mafanikio ya arsenal toka enzi zile ni kugombania nafasi 3 za juu nikimaanisha 2,3 na 4 yaani kushiriki UEFA na ndicho anachokifanya .
Carabao tumeshinda ndio!!! Unataka tushinde nini ?? UEFA wote mimi na ww hatuna haya niambie lini arsenal kashinda carabao cup, nina uhakika hujawahi kushuhudi arsenal kabeba carabao as arsenal fan.
Hakuna namna utajitungia logic zako na kulazimisha.Amemaanisha mfumo nyie kondoo ndio mmeshikilia wachezaji, kocha ingekua sio mfumo asingeondoa wale wachezaji aliowakuta.
Horny Slut anasababisha Mudi asishinde Ballon d'Or. Kwanini alimuweka benchi Mudi mechi ya PSG na ya Newcastle?Wana miaka 33 hawajawahi kushinda League Cup.
Wazee wa Stay Humble.
HuelewekiKumbe wewe unaongelea formation? Huo ni mpangilio tu wa wachezaji.
Sijazungumzia ubingwa hapa....nimezungumzia kukutungua ww....maana huwa mnajitutumua kabla ya mechi halafu kikishapigwa mnakuwa wanyonge kwli kwliπ€ π€ π€ π€ ....nyny ubingwa wenu labda ni kombe la mikutano maana kule kuna timu Zina Majina kama miti shamba ya waganga wa kienyeji hazijulikani hata zimetokea wapiMsiweke matarijio makubwa sana kwa msimu ujao, mana nyie ni wale wale kila msimu. Ni hivi hii chelsea mbovu itachukua kombe kabla yenu, na sitashangaa pia man u pia wakinyanyua kombe kabla yenu. Mpaka mje mshtuke Arteta ni mwanasiasa itakua too late.
View attachment 3276780
Hilo kombe lako nimelichukua miaka mingi kabla yako. Pia bado sijakaa zaidi ya miaka 50 bila kulibeba.Umesema vyema mna wawakilishi na si washindani hapo sikupingi. Na robo fainali ndipo mnapoishia kama kawaida yenu.
Mm binafsi naona arteta kama ni mafanikio arsenal kashayapata asepe akatafute makombe kwengine hapo arsenal mtamzeesha tu .
Mafanikio ya arsenal toka enzi zile ni kugombania nafasi 3 za juu nikimaanisha 2,3 na 4 yaani kushiriki UEFA na ndicho anachokifanya .
Carabao tumeshinda ndio!!! Unataka tushinde nini ?? UEFA wote mimi na ww hatuna haya niambie lini arsenal kashinda carabao cupπππ , nina uhakika hujawahi kushuhudi arsenal kabeba carabao as arsenal fan.
Achana na makombe ya mwaka 1961 huku wakati wa kukusanywa kwenye vijijo vya ujamaa, ww kama shabiki wa arsenal umewahi shuhudia arsenal kabeba hili kombe toka uanze kuujua mpira .Hilo kombe lako nimelichukua miaka mingi kabla yako. Pia bado sijakaa zaidi ya miaka 50 bila kulibeba.
Kumbuka pia mimi bado sijafikia miaka 10 bila kubeba kombe lolote, yaani nina ka FA cup ka kuzugia huku nikipambana kubeba la ligi na UCL kwa mara ya kwanza.
π π π π Wewe una raha basi. Umeshuhudia Arsenal ikibeba FA Cups kadhaa na PL 3 ikiwa na Wenger. Sijui kama ulishuhudia ile UEFA Cup Winners Cup (mimi nilikuwepo duniani enzi hizo) ila baada ya Wenger umeshuhudia Arteta akibeba FA Cup katika msimu wake wa kwanza na kuifanya Arsenal kuongoza kwa kubeba kikombe hicho.Achana na makombe ya mwaka 1961 huku wakati wa kukusanywa kwenye vijijo vya ujamaa, ww kama shabiki wa arsenal umewahi shuhudia arsenal kabeba hili kombe toka uanze kuujua mpira .
Yaani arsenal kila sehemu tukiweka vigezo nyinyi mnaonekana vituko π .
We jamaa una spana za moto.Achana na makombe ya mwaka 1961 huku wakati wa kukusanywa kwenye vijijo vya ujamaa, ww kama shabiki wa arsenal umewahi shuhudia arsenal kabeba hili kombe toka uanze kuujua mpira .
Yaani arsenal kila sehemu tukiweka vigezo nyinyi mnaonekana vituko π .