Hiki ndio nini?View attachment 3273966
Nasema hivii, Arse88 imelaaniwa.
Arteta Ubora wake umekuwa kwenye kujihami zaidi na Defense ya Arsenal imekuwa nzuri misimu miwili nyuma, Msimu huu bado ni bora ila timu ina makosa mengi sana hilo eneo hillo watu wanamfikia sana RAYA, UTD Mbovu zaidi imemfanya Raya afanye saves karibu 5.Mpaka sasa kinachosababisha Arsenal ishinde baadhi ya mechi ni defense.
Hakuna zaidi.
Timu kama PSG ni kawaida kutengeneza big chances mpaka tano kwenye mechi moja. Na utakuta wanascore moja au mbili.
Lakini dhidi ya Arsenal hawakutengeneza big chance yeyote. Watu walikua wanashangaa Arsenal kuifunga PSG kisha PSG akadominate Loserfools. Difference ililetwa na defense
Tumecheza na Dembele.Arteta Ubora wake umekuwa kwenye kujihami zaidi na Defense ya Arsenal imekuwa nzuri misimu miwili nyuma, Msimu huu bado ni bora ila timu ina makosa mengi sana hilo eneo hillo watu wanamfikia sana RAYA, UTD Mbovu zaidi imemfanya Raya afanye saves karibu 5.
Hapa Umewa-downplay sana PSG bila zingatia jinsi wamebadilika mentally na Tactical! PSG walocheza na ARS ilikuwa na Kang In Lee kama CF, Leo wana "most in form ST" Ousmane Dembele, wana nguvu mpya kwa Khvicha,
Tunaweza weka kwa mfumo wa "Banter" ila Liverpool nje ya mchezo wa kwanza kuzidiwa kila kitu, mchezo wa marudiano walifanya mechi iwe nzuri. PSG, Barca, Inter ni aina ya timu ngumu zaidi kwenye hii hatua. ARSENAL ingekuwa na CF wa maana hadithi ingekuwa tofauti maana Arteta na madhaifu yake anaweza kiasi cheza KO's.
Dembele hakucheza ile match.Tumecheza na Dembele.
Stats za big chances na missed big chances kwao ni endelevu siyo kwa liva tu hata kwenye ligi yao. Hata baada ya Khvicha kuwasili.
Nafikiri kwenye hii hatua kila mmoja ni mgumu isipokua Arsenal kwakua hana ST/ CF.
Kusema Arteta anajihami haina tofauti na aliyemuita Slot genius kwa kupaki basi dhidi ya PSG. But jaribu kuangalia stats Arsenal akifungwa timu pinzani anakua ameopt kucheza mfumo gani
Punda kabisaDembele hakucheza ile match.
Kwenye hii hatua wote ni watu wazima kasoro nyinyi false hopers tu , vitoto vingi hata wangekuepo kina kai ,saka, jesus na hopers wengine wote bado nyinyi mgekua underdog , kwani striker wenu arsenal ni nan ambaye hayupo???π.
Naskia mnamtaka bruno G, hata kama wewe ungekuwa bruno ungeweza kweli kwenda team kama arsenal! Kutafuta nini pale asenali.
Cheki striker la ball sijui ni wewe au mkorea mlikua mnaiita miguu mirefu
Stay humble eeeh!!! Toka uanze kushabikia arsenal ushawahi kuona hii picha kwa arsenal πPunda kabisa
Punda kabisa wa Tarakea Rombo ndanindaniStay humble eeeh!!! Toka uanze kushabikia arsenal ushawahi kuona hii picha kwa arsenal π
Bora Liverpool kuliko nyinyi mlichofanya mwaka jana πππ mlipiga mazoezi ya ki false hope sanaNewcastle wamevaa jezi zimeandikwa 'winners 25'. Liverkuku nao walijiandalia mavazi fulani kwa ajili ya kuvaa kama wangeshinda.
Utakuta kuna mabasi ya kuzungushia kombe mitaani tayari yameoshwa na kupakiwa ili kesho asubuhi washerekee na mashabiki.
Utakuta vibali vya kufunga baadhi ya barabara na polisi wa kuangalia usalama na ustaarabu wameshaandaliwa.
Utakuta Liverkuku walifanya yote hayo. Sasa wanabidi wazitume hizi jezi kwa nchi za dunia ya tatu kama misaada.
πππ. Mwaka mwingine without trophy.Punda kabisa wa Tarakea Rombo ndanindani
Punda kabisa wa Kintikuπππ. Mwaka mwingine without trophy.
Labda uefa mtachukua sio??? Maana kuna arsenal fan nilimuuliza vipi anakuambia tupo uefa , nikamuuliza mpo uefa mnafanya nini ??
Kwa team zilizobaki team pekee ambazo hazina uefa ni nyinyi na PSG ndo maana mnajificha sana kwenye kivuli cha PSG japo sio saizi yenu .
Ni rahisi sana kwa aston villa kushinda hili kombe kuliko false hopers.
Isak na Bruno tunawataka. Kiangazi hapa tunawamwagia mpunga na kuondoka nao waje Emirates tuchukue nao treble.Nawashauri mngeanza kujadili usajili kwa ajili ya msimu unaofuata kuliko kuongelea habari za UCL ambayo ni kama tayari mmeishatolewa ila tarehe ya mchezo husika ndio inawachelewesha tu.
π€£ treboIsak na Bruno tunawataka. Kiangazi hapa tunawamwagia mpunga na kuondoka nao waje Emirates tuchukue nao treble.
Arsenal na kumwaga mpunga π«²........π«±Isak na Bruno tunawataka. Kiangazi hapa tunawamwagia mpunga na kuondoka nao waje Emirates tuchukue nao treble.