Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nakumbuka msimu uliopita zilikua zimebaki mechi 5 kama sikosei, arsenal na liva walikua wanatuacha point 2 Arsenal akiwa kikeleni.

Wikiendi moja wote wakapigwa 2-0 na mid table teams huku sie tukashinda tukakaa kileleni mpaka ligi kuisha.

Halafu unakuja kuletewa habari za Michael oliver this, Michael oliver that πŸ˜‚

Liva alichukua ndoo mbele ya hii hii city ya pep inayohisiwa kuhonga marefa, why?

Sababu wale wahuni walikua na uwezo, sasa hawa ndugu zetu kujaribu hii misimu miwili unaletewa habari za "FA hawataki tubebe kombe" 🀣🀣🀣🀣

Jenga timu yenye uwezo, kombe unachukua haijalishi kahongwa refa ama ball boy.
 
Wanangu sina MB nimekaa kwenye mnara mmoja hivi ila nataka kusema COYG
 
πŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈ
 
Havertz alivyokosa mpaka Guardiola kashika kichwa kachuchumaa chini kiasi ya kwamba hajaamini ni kwanini Havertz kakosa pale.. Havertz ni fala sana, upo peke yako kabisa unashindwa hata kupiga on target
 
Havertz alivyokosa mpaka Guardiola kashika kichwa kachuchumaa chini kiasi ya kwamba hajaamini ni kwanini Havertz kakosa pale.. Havertz ni fala sana, upo peke yako kabisa unashindwa hata kupiga on target
Yan maajabu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…