Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mara nyingi kipa akifungwa kwa kuuzwa kwa shot ya kwanza zinazofuata zinakua hivyo hivyo coz anashindana kuotea.
Huu ndio ujinga ambao siku zote huwa siukubali. Nakumbuka enzi zangu golini hizi penati nimecheza sana.

Unapochelewa na kushindana na kasi ya mpira una chansi kubwa ya kuicheza mipira hata kwa miguu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…