Ni trick, lazima itafungua kwenye new window.Yalla inaniletea matangazo tu halafu hata hayaondoki.
Hii new window usiifunge ndiyo itaonyesha mpira
Ni trick, lazima itafungua kwenye new window.Yalla inaniletea matangazo tu halafu hata hayaondoki.
Itakupa ads two times.Kila Niki click inaniletea mitangazo tu...hii inakuwaje hii...msaada
Hapana nafanyaje?Ni trick, lazima itafungua kwenye new window.
Hii new window usiifunge ndiyo itaonyesha mpira
Hapana nafanyaje?
Nikiclick yes inakuja mitangazo tu ya alibaba na haiondoki, ukiclick no hamna kitu inatokea. View attachment 3199884
Check hiyo screen recorder kwa link hiiHapana nafanyaje?
Nikiclick yes inakuja mitangazo tu ya alibaba na haiondoki, ukiclick no hamna kitu inatokea. View attachment 3199884
tv.yalla-live.org
Na hatukuwahi kuona ni changamoto kwakua tulikua tunashinda mechiArsenal hatuna specialist wa kupiga direct free kick mpaka sasa
Watu wa arse8 hamna TV au hamuwezi kulipia vifurushi?Itakupa ads two times.
Third time itafungua window ambayo ndiyo ya kuangalia mechi
Bruno kashampeleka JESUS wodini na Odergaad anachechemea, kipindi cha pili harudi na sasa ndio tunamuingiza AMAD akawaue.Jesus injured