Kila muda anatusuprise sana na selection zake😀.. Kama Merino na Rice wameanza sikuona sababu ya kuanza Jorginho. Ukiwa na Jorginho ndani utegemee timu kuwa slow na muda wowote tegemea makosa ya kuigharimu timu.
Kila muda anatusuprise sana na selection zake😀.. Kama Merino na Rice wameanza sikuona sababu ya kuanza Jorginho. Ukiwa na Jorginho ndani utegemee timu kuwa slow na muda wowote tegemea makosa ya kuigharimu timu.
We don't deserve to be champion... No hungry on this team. Kuna muda unaona mchezaji ana nafasi ya kupeleka mpira mbele lakini anafanya turn over mpaka unajiuliza anafikiria nini.