mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,583
- 19,226
Hiyo fixture naenda kupiga wote hao, na ninaemuombea azidi kupoteana ni huyo huyo cityYaani mkorea nilikua naamini Masingeli kulikimbia hili jukwaa huenda kidogo akili zako zitaanza kurudi na kuachana na false hope za kijinga, kumbe Masingeli alitia kufuli halafu akaondoka na funguo zake.
Kwa Arsenyo hii ninayoijua mimi mpaka kufikia hio February 20 Liverpool atakua amewapiga gape la zaidi ya points 20.
Mancity mwenyewe nina uhakika atarecover na kumaliza ligi juu yenu kwa points kadhaa.
Kuna uwezekano mkubwa sana msimu huu Arsenyo kumaliza ligi nje ya top4.
Fixture ya january tu mnaenda kudondosha zaidi ya points 10.View attachment 3188346
Liverpool tutajua tunaenda kumdakia wapi. Hizi ni game ambazo liverpool ataacha points zaidi ya 10
Arsenal
City
Nyumbu
Chelsea
Spurs
Everton
Villa
Ukija upande wa arsenal, hizo timu nilizoziandika hapo juu, tunaenda kuchukua points 15+