Tierney was lit halafu CF alikua Martinelli, Lacazette na Auba.Tierney anaweza kuhitaji muda kufikia form yake. Pia nina wasiwasi Arsenal style inaweza kuwa imempa mkono Tierney, apendaye kubomb forward na kucross. Kama Trossard hataingia ndani na kumwachia Tierney a- overlap, Tierney anapunguza nguvu kwenye attack. Pia Tierney atakuwa anamhitaji zaidi Havertz kuliko Jesus ili afaidi crosses zake.
Ila zote hizo ni theories. Anaweza kuingia Tierney na akakiwasha balaa.
Height ya Laca na Jesus naona vinafanana. Bado hata kusprint na kucross haitamsumbua Jesus.
Also Tierney when all else fails hasiti kushuti akiwa mbali badala ya kutegemea tu crosses, sideway passes na back passes.