Mara nyingi sana nimejaribu kumuelewa Jorginho lakini huwa nashindwa.. Kila mara anapoanza katikati huwa tunakosa balance na flow nzuri ya mchezo... Kuna vitu vingine Arteta huwa analazimisha tu lakini havina tija kwenye mchezo.. Ni kwanini Kieran Tierney asianze left back then Thomas Partey akaenda katikati.. Una left back wa asili unamuacha nje then unachezesha wachezaji out of position.