Kajunjumelle
JF-Expert Member
- Aug 13, 2024
- 220
- 241
Nielewe Kama ifuatavyo..Ni hivi hiyo gentleman rivarly unayoisema inatokana na unyonge wa Arsenal kwa Liverpool,kwa sababu fierce rival huchangiwa na tension of game,not otherwise...Sasa kwa mfano hivi unajua kwa zaidi ya miaka 10 Arsenal haijashinda mechi Anfield,wakati Liverpool kushinda Emirates ni Jambo la kawaida Tena kwa idadi kubwa ya magoli..5-4,3-1,2-0 nk??Itakua kuna sehemu sikuelewi.
So ili rivalry ije unahisi nini kingekuepo kingeleta rivalry?
Nimeongelea magoli ya mchezaji mmoja siyo matokeo ya mechi
Lverpool na United hazina fierce rivalry?Nielewe Kama ifuatavyo..Ni hivi hiyo gentleman rivarly unayoisema inatokana na unyonge wa Arsenal kwa Liverpool,kwa sababu fierce rival huchangiwa na tension of game,not otherwise...Sasa kwa mfano hivi unajua kwa zaidi ya miaka 10 Arsenal haijashinda mechi Anfield,wakati Liverpool kushinda Emirates ni Jambo la kawaida Tena kwa idadi kubwa ya magoli..5-4,3-1,2-0 nk??
Kwako rivalry inatokana na mechi moja moja?Yaani kipindi kifupi pekee ambacho Arsenal kamnyanyasa Liverpool ni kile Cha 2002-2006 mfano Ile mechi Thierry Henry anawapunguza kina Carragher na kumzunguka Dudek mechi ya 4-2 msimu wa invisible
Na Ile ya Julio Baptista kufunga harttrick Anfield ushindi wa 6-3 kombe la Carling(Sasa Carabao) msimu wa 2005/06
Nje ya hapo ni vipigo vya paka kakomba mboga yaani 5-1,4-0 za kutosha ikiwemo Ile ya msimu wa 2013/14 ambapo ndani ya dk 20 scoreboard ilikuwa inasoma 4-0 kiasi Cha camera kumuonesha Colsieny anatoa machozi kwa mechi iliyoisha 5-1
Mpaka 2013 bado liver hakai meza moja na Arsenal.Yaani kipindi kifupi pekee ambacho Arsenal kamnyanyasa Liverpool ni kile Cha 2002-2006 mfano Ile mechi Thierry Henry anawapunguza kina Carragher na kumzunguka Dudek mechi ya 4-2 msimu wa invisible
Na Ile ya Julio Baptista kufunga harttrick Anfield ushindi wa 6-3 kombe la Carling(Sasa Carabao) msimu wa 2005/06
Nje ya hapo ni vipigo vya paka kakomba mboga yaani 5-1,4-0 za kutosha ikiwemo Ile ya msimu wa 2013/14 ambapo ndani ya dk 20 scoreboard ilikuwa inasoma 4-0 kiasi Cha camera kumuonesha Colsieny anatoa machozi kwa mechi iliyoisha 5-1
Hao ndio English RivarlyLverpool na United hazina fierce rivalry?
Rivalry haiwi kwa mechi moja labda uniquote sehemu niliyosema hivyo...Kwako rivalry inatokana na mechi moja moja?
Siyo bigger picture?
Ninyi Kenge mlikuwa mnaTuombea tufungwe ,tumemnywa supu Aston villa hukoItakua kuna sehemu sikuelewi.
So ili rivalry ije unahisi nini kingekuepo kingeleta rivalry?
Nimeongelea magoli ya mchezaji mmoja siyo matokeo ya mechi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu tema mate chini labda kama haulijui Armo ball, muulize Pep analijua balaa la huyu mreno.Kikombe cha tano kiendelee kwakwli....na ikiwapendeza zaidi odegaard na Saka basi hata goli sita itakuwa safi zaidi
Mkuu, sie Bado tunajenga timu Hawa arsenal sio wenzetu kabisa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu tema mate chini labda kama haulijui Armo ball, muulize Pep analijua balaa la huyu mreno.
Ushindi wenu siku hiyo labda mpewe penalty.
So hawa wana rivalry ingawa mara nyingi united anafungwa?Hao ndio English Rivarly
Dah 😅Ninyi Kenge mlikuwa mnaTuombea tufungwe ,tumemnywa supu Aston villa huko
Tumerudi nafasi yetu ,pimbi ninyi mlikuwa mmekaimu tu ,mabosi WA London tumerudi
Kwahiyo kua nafasi ya tatu mnaona mmemalizaNinyi Kenge mlikuwa mnaTuombea tufungwe ,tumemnywa supu Aston villa huko
Tumerudi nafasi yetu ,pimbi ninyi mlikuwa mmekaimu tu ,mabosi WA London tumerudi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu ulipotea sana mpaka nikahisi tayari umeshatupa manyanga na kuamua kuungana na boss wako Masingeli.Flano mkuu habari yako [emoji1783][emoji1783][emoji1783]...ilibidi nikae kimya kidogo maana timu ilikuwa inapitishwa kwny moto mkali sana....Kila siku vichapo nikawa sina nguvu ya kubishana na ww shabiki lialia wa Manunu.....nakuheshimu sana Bro kwa kuwa na ngozi ngumu....kama mm ndo ningekuwa Niko Manunu...hakyanani nisingekuwa hata naingia jukwaani kuona maneno ya wadau....maana kuna watu Wana mdomo mchafu kwlikwli akianza kuiponda timu yqko
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu hawa Arsenyau ni wa kwenda nao tu hivyohivyo, hawa sio wa kuishi nao kinyonge, hapa kwenyewe wana wasiwasi kwelikweli na mechi yetu.Mkuu, sie Bado tunajenga timu Hawa arsenal sio wenzetu kabisa.