makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 37,443
- 108,488
Utulivu wake, anavyo receive mali, anavyoachia.. Zile turn zake akipokea mali toka kwa kipa, wakati mwingine nachelewa kujibu msg za mama watoto. 😂Kilichonifanya nimkubali zaidi ni alipoondoka ATM ambayo wakati huo ilikuwa bora kuliko sisi, na akasema siku zote alikuwa na ndoto ya kuchezea Arsenal. Alinipata pale hadi leo, namkubali kabla hajaanza kuichezea klabu yetu.
Halafu alivyokuja tu, wenzie wakatwaa kombe! Nilijisikia vibaya sana.
Halafu wamefungwa Etihad, raha sana.Hizo 4-0 tungefungwa sisi sasa!
😁😁😁 na tarehe 01 ana liverpoolMwenzenu huwa nafurahia sana kumuangalia Guardiola akipoteza, nafurahi mno!
Hiyo game acha liva afe😁😁😁 na tarehe 01 ana liverpool
kesho kwanza naomba apate sareHiyo game acha liva afe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kombe gani atakalochukua Arsenyau msimu huu?Same here...., the guy is so humble, so calm, hardworking and intelligent...
Kuna kipindi Arteta anajitiaga ujeuri kumwacha mwishowe anamrudia mwenyewe...
Nahisi mwisho wa msimu huu ataondoka.., tena free.. kombe tutakalochukua this season itakuwa ndo la kumuaga.
Kusingekalika miaka 2 humu, wangejaa nzi kishenziHizo 4-0 tungefungwa sisi sasa!
🤣🤣🤣🤣🤣Mlevi mwenyewe bana.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kombe gani atakalochukua Arsenyau msimu huu?
Timu imeshindwa kuchukua kombe 2022/2023 wakati imeongoza ligi karibu msimu mzima (siku 258) halafu uje kujipea matumaini ya kuchukua kombe msimu huu ambao timu limepoteana hata top4 halitoboi.
Ndio maana takwimu zinaonyesha mashabiki wa Arsenyo wanaongoza kwenye suicide attempts na wengi wao ni walevi kupindukia.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Edo Kumwembwe mwenyewe hua anasema alianza kua mlevi baada ya kuanza kushabikia Arsenyau, anadai pombe pekee ndio inayompea faraja kila anapoumizwa na matokeo ya timu yake, hivyo kuna kamstari kembamba sana kanakoitenganisha Arsenyo na ulevi.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mlevi mwenyewe bana.
Kwani Carabao siyo kombe? and trust me EPL race isn't done yet
Najua furaha yako ipo arsenal, endelea kuenjoy[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Edo Kumwembwe mwenyewe hua anasema alianza kua mlevi baada ya kuanza kushabikia Arsenyau, anadai pombe pekee ndio inayompea faraja kila anapoumizwa na matokea ya timu yake, hivyo kuna kamstari kembamba sana kanakoitenganisha Arsenyo na ulevi.
Wale mashabiki wa Arsenyo wasiotumia kilevi ndio hua wanaishia kujitundika.
Hata hapa kitaani kwetu walevi mbwa wote ni mashabiki wa Arsenyau.