Kigi Makasi
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 1,309
- 2,568
Haya ni matokeo ya summer transfer mbovu.Muda huu ndo tunahusishwa na Gyokeres na Sane.
Both Edu na Arteta wapo responsible na hili. Edu kaamua kujikataa.Ukweli mchungu, I think Arteta is next kama kweli akina Kroenke wana-consider trophies kama mafanikio
Last summer transfer business at our club was more of a gamble. Mnaacha wachezaji wazuri waliopo sokoni, mnachukua rejects, eg Sterling. Olisse alikuwa sokoni muda mrefu. Huku kwingine kuna Lookman. Midfield ya Merino haijachangamkaBado siamini, coming close to EPL tittle kwa miaka miwili in row, na response ya next season ni KUMSAJILI STERLING!!!!!!!!
.We need a little patience with ARTETA..., Soon we will be winning trophies
Kuna muda huwa comment kama hizi zinakuwazisha hivi huyu mtu ni wa kawaida kweli??We need a little patience with ARTETA..., Soon we will be winning trophies πͺπͺ
ππππ Hakuna timu itafanikiwa bila kusajili wazee... Arteta hata angekuwaje bila kupewa wachezaji wazuri ni changamotoKuna muda huwa comment kama hizi zinakuwazisha hivi huyu mtu ni wa kawaida kweli??
Utafikiri Arteta ndio kwanza ana miezi miwili Arsenal.
Amiiin Amiiin nawaambia, mtamfukuza kocha wenu mpya baada ya kuwatia hasara na kuboronga... Ila Terta ball bado litapaa angani
Amiiin Amiiin nawaambia, mtamfukuza kocha wenu mpya baada ya kuwatia hasara na kuboronga... Ila Terta ball bado litapaa angani
Kutemewa kohozi double double sio masikhara aisee...Miezi kadhaa na Wiki chache nyuma unakuwa kila ukipita mitaani unakutana na watu kibao wamevaa jezi za arsenyeto na kwenye mabanda umiza wamejazana wakidanganyana km nyinyi humu na dark arts zenu kadri siku zinavyozidi kwenda naona spidi ya kuvaa jezi zetu za arsenyeto zimepungua kwani tatizo linaweza kuwa nini wakuu au ndo back to default settings ππππ
We nyumbu sio? Kama ni nyumbu huwezi kukubali anachosema mwamba ila tu nikuuize....Kupata akili nyingine za kijinga kama hiZi bonyeza neno 'INTER MILAN'
Tuacheni na phase zetu π€£π€£Tunampa misimu yake miwili kama hana kombe la kueleweka tunamtimua.
MUFC sio mid table team tufuge ujinga misimu 6 kwa kudanganyana trust the process na phase zisizo na mwisho. View attachment 3146094