Arsenal (The Gunners) | Special Thread


Nahisi hawakupewa hela..., hao wakina Kroenke wapo responsible miaka mingi tu.

Josh alikuja kuja vzr wakati hali ya timu ilivyokuwa mbaya, tulipoanza kurudi rudi ameitelekeza tena.
 
Jana nimeangalia timu kwa utulivu mkubwa.
Pattern zilikuwa sawa
Structure almost zilikuwa sawa.
Ila tulikosa quality baadhi ya maeneo

Kwakweli with my whole heart nasema Kai hatufai kama tunataka makombe ya kueleweka.

Movements zake akiwa na mpira ni za kawaida mno na mbaya zaidi hana Ile instinct ya mshambuliaji.
Yeye ni back pass na kukimbiakimbia.
 
Bado siamini, coming close to EPL tittle kwa miaka miwili in row, na response ya next season ni KUMSAJILI STERLING!!!!!!!!
Last summer transfer business at our club was more of a gamble. Mnaacha wachezaji wazuri waliopo sokoni, mnachukua rejects, eg Sterling. Olisse alikuwa sokoni muda mrefu. Huku kwingine kuna Lookman. Midfield ya Merino haijachangamka
 
Kama hatutajifunza kukamilisha maeneo yote with quality basi tusahau makombe.
Narudia,tunamlilia captain ode ila kwenye mech kubwa na zenye pressure ode Huwa anapotea.

Kwa nature ya team yetu tunahitaji ball carriers angalau watatu.

Kazi aliyokuwa anaifanya Saka ilitakiwa awepo mid mwenye uwezo kama yeye au kuzidi ili ku unlock πŸ”“ za wapinzani au kutengeneza faulo na penati

Partey karudi kwenye quality ila viungo wanaocheza mbele zake hawana maajabu.
 
Phase ya kwanza ya uwanja tuko vizuri
Phase ya pili nayo inajitahidi mnoo
Shida Iko phase ya tatu ya uwanja.

Merino wakati anakuja alikuwa ni longshot dancer ila sijui Nini kimemkuta

Kuna muda unamtazama partey na Saka kwa kazi kubwa wanayoifanya halafu unajiuluza mbona ni kama wanapoteza muda tu.watu wanaowafeed wako too relaxed
 
Kwangu Mimi naona tunahitaji watu katika maeneo yafuatayo

Striker hasa
DM wa maana
Winger mwenye uwezo wa kucheza both wings
LCM ambaye ni ball carrier na driver hasa

Kama hatutoimarisha quality ndani ya pitch basi tutaishia kuona pattern na structure za team with unconvincing result.

Hapa ndo unatamani mwekezaji mwarabu,pep anamnunua grealish na anamweka bench kama hampi anachotaka
 
Kwangu Mimi naona tunahitaji watu katika maeneo yafuatayo

Striker hasa
DM wa maana
Winger mwenye uwezo wa kucheza both wings
LCM ambaye ni ball carrier na driver hasa

Kama hatutoimarisha quality ndani ya pitch basi tutaishia kuona pattern na structure za team with unconvincing result.

Hapa ndo unatamani mwekezaji mwarabu,pep anamnunua grealish na anamweka bench kama hampi anachotaka
 
Miezi kadhaa na Wiki chache nyuma unakuwa kila ukipita mitaani unakutana na watu kibao wamevaa jezi za arsenyeto na kwenye mabanda umiza wamejazana wakidanganyana km nyinyi humu na dark arts zenu kadri siku zinavyozidi kwenda naona spidi ya kuvaa jezi zetu za arsenyeto zimepungua kwani tatizo linaweza kuwa nini wakuu au ndo back to default settings πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kuna muda huwa comment kama hizi zinakuwazisha hivi huyu mtu ni wa kawaida kweli??

Utafikiri Arteta ndio kwanza ana miezi miwili Arsenal.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Hakuna timu itafanikiwa bila kusajili wazee... Arteta hata angekuwaje bila kupewa wachezaji wazuri ni changamoto
 
Kutemewa kohozi double double sio masikhara aisee...
 
Kupata akili nyingine za kijinga kama hiZi bonyeza neno 'INTER MILAN'
We nyumbu sio? Kama ni nyumbu huwezi kukubali anachosema mwamba ila tu nikuuize....
Kwa jinsi arsenal walivyocheza jana,mara ya mwisho nyumbu walicheza ilikuwa lini
 
Inzaghi aliwadharau sana Arseanl, alipumzisha wachezaji 6 wa kikosi cha kwanza kwa ajili ya mechi ya Napoli jumamosi akiamini ndio itakuwa ngumu zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…