Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Flano anafanya kazi maktaba ya taifa nini? Maana jamaa hapotezi data kabisa.
Sema chochote, siku yoyote ile, halafu subiri miaka hata kumi, uone kama jamaa hatakuletea hiyo data.
 
Against Milan leo.

Jana jirani yake kamshona Madrid, lazima atataka kuringisha na yeye.

Sisi si ndiyo tupo na mwanetu Kai kama ST? Let's see what will happen
 
Flano anafanya kazi maktaba ya taifa nini? Maana jamaa hapotezi data kabisa.
Sema chochote, siku yoyote ile, halafu subiri miaka hata kumi, uone kama jamaa hatakuletea hiyo data.
nimetoka kumwambia mkorea kua ninastock ya zaidi ya 2 terabyte ya risiti zenu na bado naendelea kukusanya risiti nyingine.
Binaadamu tumeumbiwa kusahau, hivyo ni muhimu kuwatunzia risiti zenu ili siku ukijifanya kukengeuka tunakuonesha mkeka wako vile ulivyotoa boko.
Hapa na wewe HENRY14 uliungama na kukubali kua Arsenyau ni fungu la kukosa, kila msimu mnamaliza kwa huzuni halafu nyumbu na pira lao la papatu papatu lakini mwisho wa msimu wanamaliza na furaha kama yote kwa kubeba kombe.
 
Nianzie hapa: Link ya Sanka na white huwa ipo active Sana na yenye kuleta positive impact kwa 90% kwa jinsi walivyozoeana
Overlap za white ndio kitu tunakimiss Sana
Na odegard akirudi ndio kabisa ubora wa Saka utazidi kuonekana

Merino yupo upande wa martineli, Kama xhaka alivyokua anacheza na martineli ndio Sasa Merino aifanye hiyo kazi

Partey in the middle. Octopus partey

Ukuta upo vizuri as usual, golini yupo kipa Bora epl

Trossad ni mtu sana na kai ni mtu na nusu
 

Ubunifu bado tutakosa ila tujitahidi kushinda, tena kwa kucheza boli zuri. Tujitahidi kuimarika mechi kwa mechi na hatimae tutakaa sawa kama tulivyokuwa awali.
 
Struggling to get the ball.

We get the ball.

Inaanza back passes
 
Kipa bora epl washamdungua huko
 
Ile siku ambayo Arteta anaulizwa juu ya kufungwa na akaona ni sawa kwakua ni loss ya kwanza in six months ilitakiwa ile siku aanze kupima wapi tunakosea.

Statistically mechi tulizosuluhu au kupoteza ni chache ndiyo tunakua siyo threat kabisa zingine zote mfano ya leo statistically tumekua threat kuliko mpinzani.

Hazizai matunda kwakua difference maker tuliyenaye ni Kai. Past games tumefungwa kwakua hata high line pressure tulikua hatufanyi. Kocha ashaona defense ya Inter iko vizuri kuzuia krosi means tunahitaji formation na watu ambao 1 2 haziwasumbui.

Alichofanya ni kuamini kwamba it will work.
 
Inawezekana Edu anataka kuondoka Arsenal kwa sababu haelewani na Arteta, especially kuhusu usajili wa Merino. Another reason, could be, he doesn't see a promising future at the club
Mpunga aliotajiwa anapoenda hata wewe usingekataa, labda hayo yamechangia ila pesa atayopokea ni mara tatu ya sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…