HahaaaSio Newcastle peke yao, Bundi ndio ameshatua rasmi nyumbani kwenu. Sasa hivi kila timu mtayokutana nayo mtakua mnawaita wapuuzi, wiki ijayo ni zamu ya Chelsea nao mtawaita wapuuzi baada ya kuwagonga.
Msimu huu naiona Man Utd inamaliza ligi ikiwa juu ya Arsenyau tena kwa points nyingi.
Leicester City ilikua ni one season wonder lakini hawakufanya makosa wakabeba Epl, Arsenyau imekua na two season wonder with nothing na ndio tayari mmesharudi rasmi kwenye default mode.
Masingeli sio mjinga kulikimbia hili jukwaa mapema, jamaa hua linakuga na machale utafikiri starling wa kihindiView attachment 3144142
Pale juu tutakaa na tutakaa mida ambayo hakuna atakayetushusha,tutatembeza dozi kwa Kila kiumbe atayepita mbele yetu
Hizi ni ndoto za arinacha 🤣🤣🤣Hizi ni kumbukizi tu jamani maana binaadamu hua tumeumbiwa kusahau.
Hapa Lisupa computer lilifeli vibaya mno, yaani liliwatabiria Arsenyo kucheza fainali na kuchukua ubingwa wa Uefa lakini likasahau kuwatabiria kua robo fainali wanaenda kukutana na Bayern Munich ambae mara ya mwisho aliwachomoa kwenye haya mashindano kwa kuwagonga goli 10
Sijui Masingeli alishindwaje kuusanukia huu mtego akaingia kichwakichwa kusambaza propaganda za Lisupa Computer
Hili jukwaa lilipitia mambo mazito sana. View attachment 3144220View attachment 3144221
Kwakweli 🤣Tukiamua kufukua humu yaliyopita ama kweli kulikuwa na vichekesho sanaaa....wazee wa dark arts kila ikipigwa kona kwao ilikuwa kama penalty 😂😂😂 sasahv taratibu wanarejea kwenye default settingsHili jukwaa limepitia mambo mengi sana aiseeee. View attachment 3144255View attachment 3144256View attachment 3144257
Daaah wananichekesha sana Hawa.Hili jukwaa limepitia mambo mengi sana aiseeee. View attachment 3144255View attachment 3144256View attachment 3144257
Iko wazi mzeeWachawi mnaotuwangia tumieni vizuri muda huu kutunanga na msije sema hatukuwambia.
Kuna muda mtashindwa hata kufungua huu Uzi na sisi Wala hatutakuwa na shobo na nyie