Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,844
- 16,298
Tokea msimu uliopita Edu alikua anasisitiza watafute kocha wa kueleweka lakini baadhi ya viongozi na wamiliki wa timu wanampinga.Mbona imetokea ghafla sana?
Au ameona kuna anguko linakuja akaamua kujihami
Jamaa anatumia nguvu nyingi ili timu ipate mafanikio na kubeba makombe ya maana, lakini anaona kwa kuendelea kumuamini na kumtegemea huyo kocha wenu Tetea juhudi zote Edu anazofanya ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.
Ameona bora akapambanie ndoto zake sehemu nyingine, anaimani kama walivyotimiza ndoto zao kina Xhaka, Fabregas, Van Persie, Chamberlain na wengineo na yeye bado ana nafasi ya kutimiza ndoto zake nje ya Arsenyau.