Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,817
- 233,249
Naaam mim mwenyew kuna mtu nimetoka kumuambia mtu hiki kitu baada ya game, combo ya Rice na Merino, trousard haitakuna kulipa kamwe may be wacheze na mchezaji mwenye kariba ya kushambulia, mfano ode,Ethan,pemben yao ila hivi anapiga mbuzi gitaaarteta nyumba aliyoanza kuijenga ilibakia finishing lkn anaibomoa tena mwenyewe kwa mikono yake.
merino bado hatakiwi kuingia kwenye XI kwa haraka namna hii ;partey ama jorginho ndio wanatakiwa ku partner na rice kwenye mid kwa ssa.
Naaam mim mwenyew kuna mtu nimetoka kumuambia mtu hiki kitu baada ya game, combo ya Rice na Merino, trousard haitakuna kulipa kamwe may be wacheze na mchezaji mwenye kariba ya kushambulia, mfano ode,Ethan,pemben yao ila hivi anapiga mbuzi gitaaarteta nyumba aliyoanza kuijenga ilibakia finishing lkn anaibomoa tena mwenyewe kwa mikono yake.
merino bado hatakiwi kuingia kwenye XI kwa haraka namna hii ;partey ama jorginho ndio wanatakiwa ku partner na rice kwenye mid kwa ssa.
Naaam mim mwenyew kuna mtu nimetoka kumuambia mtu hiki kitu baada ya game, combo ya Rice na Merino, trousard haitakuna kulipa kamwe may be wacheze na mchezaji mwenye kariba ya kushambulia, mfano ode,Ethan,pemben yao ila hivi anapiga mbuzi gitaaarteta nyumba aliyoanza kuijenga ilibakia finishing lkn anaibomoa tena mwenyewe kwa mikono yake.
merino bado hatakiwi kuingia kwenye XI kwa haraka namna hii ;partey ama jorginho ndio wanatakiwa ku partner na rice kwenye mid kwa ssa.
Tutarudi tukiwa Imara zaid, kinachotokea ni kawaida kwenye mpira wa miguu licha ya kocha kua na kiburi na uoga pia,Huu msimu hata sioni tukiwa washindani. Tufanye maisha mengine
Tutarudi tukiwa Imara zaid, kinachotokea ni kawaida kwenye mpira wa miguu licha ya kocha kua na kiburi na uoga pia,Huu msimu hata sioni tukiwa washindani. Tufanye maisha mengine
Mbona nyinyi hamna kocha wa kueleweka na mnanenepaTafuteni kocha wa kueleweka la sivyo kila msimu nyie mtakua ni wapenzi wasindikizaji tu.
Shida siyo kua poa shida ni kutafuta kombe, haya makosa wapinzani wetu wanayafanya?Tutarudi tukiwa Imara zaid, kinachotokea ni kawaida kwenye mpira wa miguu licha ya kocha kua na kiburi na uoga pia,
Kitatokea kilichotokea baada ya kipindi kile kupoteza gan na Aston villa last season alijilekebisha timu ikawa poa, naamin itakaa poa.